Nisaidieni mawazo yenu

Nisaidieni mawazo yenu

Mishenyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2019
Posts
464
Reaction score
748
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nimeajiriwa.

Baba yangu amegoma kabisa kujenga nyumba yake akidai mimi nisipomjengea watu watanidharau na kunicheka, yaani kwa ufupi nawaza mpaka nakonda ukizingatia kwa sasa namjengea mama ambaye tayari walishaachana na baba.

Mama naye alikuwa anaishi mazingira magumu kupita kiasi ikabidi nimsitiri japo nyumba yenyewe bado haijaisha vizuri.

Sasa baba anaishi mazingira magumu sana (nyumba mbovu) kipato changu ni kidogo sana na mimi binafsi sijajenga, nashindwa kupata majibu wakuu nikisema nianzishe tena nyumba ya baba na ya mama ambayo bado haijaisha, nitashindwa kuwaandalia watoto wangu mahali pa kukaa.

Nishaurini ndugu zangu.
 
Jenga nyumba yako ikiwa na umiliki wako kisha mkabidhi baba aishi, aijiachie lakin fika jua kesho keshokutwa utarudi kwenye nyumba yako uanze familia yako,
usifosi mambo nje ya uwezo wako mkuu tutakupoteza mapema
 
jenga nyumba yako ikiwa na umiliki wako kisha mkabidhi baba aishi, aijiachie lakin fika jua kesho keshokutwa utarudi kwenye nyumba yako uanze familia yako,
usifosi mambo nje ya uwezo wako mkuu tutakupoteza mapema
Asanteni kwa mawazo yenu wakuu yaani nimekonda nimeisha
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nimeajiriwa.

Baba yangu amegoma kabisa kujenga nyumba yake akidai mimi nisipomjengea watu watanidharau na kunicheka, yaani kwa ufupi nawaza mpaka nakonda ukizingatia kwa sasa namjengea mama ambaye tayari walishaachana na baba.

Mama naye alikuwa anaishi mazingira magumu kupita kiasi ikabidi nimsitiri japo nyumba yenyewe bado haijaisha vizuri.

Sasa baba anaishi mazingira magumu sana (nyumba mbovu) kipato changu ni kidogo sana na mimi binafsi sijajenga, nashindwa kupata majibu wakuu nikisema nianzishe tena nyumba ya baba na ya mama ambayo bado haijaisha, nitashindwa kuwaandalia watoto wangu mahali pa kukaa.

Nishaurini ndugu zangu.
Vijana wa kiafrika wanakwamishwa na mengi
 
Yaani umjengee baba yako?hiyo uliomjengea mama yako ilikuwa aishi na mama yako mbona unazidi kuwatenganisha?
 
Yaani umjengee baba yako?hiyo uliomjengea mama yako ilikuwa aishi na mama yako mbona unazidi kuwatenganisha?
Waligoma kurudiana mkuu nkaona mama anateseka anafanya kazi ngumu huku akiishi makazi duni sana
 
Umaskini unakunyemelea na usipokuwa makini unaweza kuja kuwa kama baba yako kwanza c lazima ujenge nyumba ya block kama ni kijijini kikubwa ujenge nyumba ambayo itamstiri aya ya tope lakini paaa LA bati au ukishindwa wawezeshe kwa biashara au mifugo alafu atajijengea mwenyewe wazazi wanataka vikubwa sana kwa watoto wao ila ni jukumu lako wewe kuchanganua kipi kinafaa na ambacho hakiaribu kesho yakoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asan
Umaskini unakunyemelea na usipokuwa makini unaweza kuja kuwa kama baba yako kwanza c lazima ujenge nyumba ya block kama ni kijijini kikubwa ujenge nyumba ambayo itamstiri aya ya tope lakini paaa LA bati au ukishindwa wawezeshe kwa biashara au mifugo alafu atajijengea mwenyewe wazazi wanataka vikubwa sana kwa watoto wao ila ni jukumu lako wewe kuchanganua kipi kinafaa na ambacho hakiaribu kesho yakoo

Sent using Jamii Forums mobile app
[/Q
Asante
 
Mkuu, hivi unajua kumhudumia mzazi ni hiyari sio lazima? Ila mzazi kumhudumia mtoto ni lazima. Jenga kwanza kwako then umjengee baba. Maana mama tayari anapo pa kujistiri.
Usipokaa makini nawe utakuja kulilia mwanao akujengee wakati wa uzee wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nachukua mawazo yenu
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nimeajiriwa.

Baba yangu amegoma kabisa kujenga nyumba yake akidai mimi nisipomjengea watu watanidharau na kunicheka, yaani kwa ufupi nawaza mpaka nakonda ukizingatia kwa sasa namjengea mama ambaye tayari walishaachana na baba.

Mama naye alikuwa anaishi mazingira magumu kupita kiasi ikabidi nimsitiri japo nyumba yenyewe bado haijaisha vizuri.

Sasa baba anaishi mazingira magumu sana (nyumba mbovu) kipato changu ni kidogo sana na mimi binafsi sijajenga, nashindwa kupata majibu wakuu nikisema nianzishe tena nyumba ya baba na ya mama ambayo bado haijaisha, nitashindwa kuwaandalia watoto wangu mahali pa kukaa.

Nishaurini ndugu zangu.
pole sana mkuu ila kila kitu kifanye hatua kwa hatua hata Mungu mwenye uwezo wote hakuumba kila kitu siku moja, mkalishe mzee chini ongea nae fanya kila kitu kwa mipango hivy hivyo kidogo kidogo utafanukisha mambo. kama kuishi mazingira magumu walikuwa wanaishi hivyo siku zote wavumilie tu mamb mazuri yanahitaji subira.
 
Back
Top Bottom