Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nimeajiriwa.
Baba yangu amegoma kabisa kujenga nyumba yake akidai mimi nisipomjengea watu watanidharau na kunicheka, yaani kwa ufupi nawaza mpaka nakonda ukizingatia kwa sasa namjengea mama ambaye tayari walishaachana na baba.
Mama naye alikuwa anaishi mazingira magumu kupita kiasi ikabidi nimsitiri japo nyumba yenyewe bado haijaisha vizuri.
Sasa baba anaishi mazingira magumu sana (nyumba mbovu) kipato changu ni kidogo sana na mimi binafsi sijajenga, nashindwa kupata majibu wakuu nikisema nianzishe tena nyumba ya baba na ya mama ambayo bado haijaisha, nitashindwa kuwaandalia watoto wangu mahali pa kukaa.
Nishaurini ndugu zangu.
Baba yangu amegoma kabisa kujenga nyumba yake akidai mimi nisipomjengea watu watanidharau na kunicheka, yaani kwa ufupi nawaza mpaka nakonda ukizingatia kwa sasa namjengea mama ambaye tayari walishaachana na baba.
Mama naye alikuwa anaishi mazingira magumu kupita kiasi ikabidi nimsitiri japo nyumba yenyewe bado haijaisha vizuri.
Sasa baba anaishi mazingira magumu sana (nyumba mbovu) kipato changu ni kidogo sana na mimi binafsi sijajenga, nashindwa kupata majibu wakuu nikisema nianzishe tena nyumba ya baba na ya mama ambayo bado haijaisha, nitashindwa kuwaandalia watoto wangu mahali pa kukaa.
Nishaurini ndugu zangu.