Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Naomba kuuliza mtoto pekee ni wewe kwenye hiyo familia yenu ?
Lord eyes ™
Lord eyes ™
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye alimjengea baba yake?Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nimeajiriwa.
Baba yangu amegoma kabisa kujenga nyumba yake akidai mimi nisipomjengea watu watanidharau na kunicheka, yaani kwa ufupi nawaza mpaka nakonda ukizingatia kwa sasa namjengea mama ambaye tayari walishaachana na baba.
Mama naye alikuwa anaishi mazingira magumu kupita kiasi ikabidi nimsitiri japo nyumba yenyewe bado haijaisha vizuri.
Sasa baba anaishi mazingira magumu sana (nyumba mbovu) kipato changu ni kidogo sana na mimi binafsi sijajenga, nashindwa kupata majibu wakuu nikisema nianzishe tena nyumba ya baba na ya mama ambayo bado haijaisha, nitashindwa kuwaandalia watoto wangu mahali pa kukaa.
Nishaurini ndugu zangu.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nimeajiriwa.
Baba yangu amegoma kabisa kujenga nyumba yake akidai mimi nisipomjengea watu watanidharau na kunicheka, yaani kwa ufupi nawaza mpaka nakonda ukizingatia kwa sasa namjengea mama ambaye tayari walishaachana na baba.
Mama naye alikuwa anaishi mazingira magumu kupita kiasi ikabidi nimsitiri japo nyumba yenyewe bado haijaisha vizuri.
Sasa baba anaishi mazingira magumu sana (nyumba mbovu) kipato changu ni kidogo sana na mimi binafsi sijajenga, nashindwa kupata majibu wakuu nikisema nianzishe tena nyumba ya baba na ya mama ambayo bado haijaisha, nitashindwa kuwaandalia watoto wangu mahali pa kukaa.
Nishaurini ndugu zangu.
Nini kifanyike ?Vicious cycle of poverty!
-Kaveli-