Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Njia hii inaweza isisaidie sana!Usiku nenda kwnye main switch uuzime then uangalie kwake haraka kama taa zinawaka
Inategemea.
Kama huyo jirani amechomeka waya before main switch?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia hii inaweza isisaidie sana!Usiku nenda kwnye main switch uuzime then uangalie kwake haraka kama taa zinawaka
Ndiyo kuna njia ya pili nimempa yakuach unit ziishe wakati wa usiku akiwepo homeNjia hii inaweza isisaidie sana!
Inategemea.
Kama huyo jirani amechomeka waya before main switch?
Sawa mkuu!Ndiyo kuna njia ya pili nimempa yakuach unit ziishe wakati wa usiku akiwepo home
Huna lolote mkuu.. huo umeme unaotumia ni wakwako kabisa we lipa bili. Kwanza unamavitu mengi ya umeme unashangaa nini bili kua kubwa? Jikaze kiume 🤣🤣Kwahiyo jirani ndo umekuja kunitisha na huku ili nisikudhibiti?
Sasa kwa taarifa yako, lazima nilete fundi akague. Kama ulikuwa huna bajeti ya umeme anza mapema kuitafuta.
Naenda kukata mirija ya umeme wa kitonga
Yawezekana lakini siyo njia sahihi sana.Kama ni usiku na amewasha taa na unahisi atakua anatumia umeme wako, nenda kwenye main switch zima kisha cheki kama jirani kuna giza
Anayekuibia umeme siyo lazima readings za mita yake zibaki constant.Hii nyumba ninayoishi tupo wapangaji watatu kwenye compound moja. Nimehamia hapo huu ni mwezi wa pili unaenda kuisha.
Ndani ya hizi wiki chache, nimeona mabadiliko makubwa ya matumizi ya umeme. Mwanzoni ilikuwa natumia wastani wa unit 2.4 kwa siku, ila kwa sasa imepanda mpaka 3.6 kwa siku.
Nimeona sio kawaida, mpaka nimehisi kwamba inawezekana kuna jirani ananipiga umeme wangu, na ushahidi nilionao ni kwamba, mahali ilipo mita yangu ipo pamoja na jirani yangu mmoja, ila sasa maajabu nashangaa hii siku ya pili nimechunguza, hiyo mita ni kama unit za umeme za jana ndo zipo leo. Nikimaanisha kwamba, ni kama vile huyu jirani atakuwa anatumie umeme kwenye source ingine ambayo possibly ameconnect umeme wangu.
Nnachokifikiria kwa haraka haraka ni kumleta fundi wiring ili akague system nzima ya umeme wangu.
Naombeni mnipe mbinu zaidi wakuu, nimekereka sana kuligundua hili, kitendo cha mtu kuniibia huwa nakichukulia kama kuniona sina akili na kunitusi.
Nahisi kama nimuadabishe bila kumuambia chochote. Haiwezekani mtu ufikiria kupambana na maisha halafu ufikirie tena kupambana na majirani wezi.
Mbinu safi na chafu nazipokea ahsante
Inawezekana hana matumizi makubwa mie mwenyewe ni 5 ila nikizima frig inaweza kuwa unit 2 tu hilo dude ndiyo linakula umeme, yaani 50 inandoka hivi hivi [emoji3]Daah watu mna raha, yaan unit 2.4 kwa Siku? Hapa nilipo tunatumia unit 5 per day
Hapo sawa sawa..sasa nishauri hapo.. itakuwa wizi umefanyika kwenye waya huo mkubwa?Anayekuibia umeme siyo lazima readings za mita yake zibaki constant.
Inawezekana huyo mwizi mita yake akaibebesha mzigo wa vifaa visivyokula umeme. Hivyo mita yake itasoma units kidogo na mita ya Mushi akaipiga mzigo kisawa sawa na ikasoma units nyingi.
Nataka nimfanyie timing.. ntazima vyangu vyote halafu hii switch ntawashabna kuzima kama mara kumi ndani ya sekunde chache.
Haa haa haa haya shughuli njema hapoNataka nimfanyie timing.. ntazima vyangu vyote halafu hii switch ntawashabna kuzima kama mara kumi ndani ya sekunde chache.
Nataka kusikilizia kikiumana ..
Hii ndo nahisi imefanyika, yaani wizi umefanyika kwenye socket ambazo tunashare kuta.. nataka nilete fundi ikibidi nikate nyaya zote za socket ambazo zinaenda upande wa nyumba yake ilipoKama wiring ya nyumba ni ile inakua shared na wall sockets za chumba zaidi ya kimoja basi inawezekana kachomeka extension na friji lake, tv na subwoofer la Sea Piano vyote vinafadhiliwa na wewe.
Yaani yeye units zake zinasoma kwenye taa tu.