Nisaidieni mbinu za kupambana na huyu jirani 'mwizi wa umeme'

Nisaidieni mbinu za kupambana na huyu jirani 'mwizi wa umeme'

Au inawezekana huyo mshkaji wako ana hela ya kutosha kutop up umeme kila siku...
hali ngumu za kimaisha zinaweza kukufanya uone watu wote wanaoijiweza ni wezi..............
 
NJIA sahihi ni kukagua system.

Inawezekana huyu jirani yake ka connect waya wa kwenda kutumia device moja au mbili wenda jiko au friji huku system nyingine iki fanya kazi sawa..

Kama kafanya hivi basi jamaa kwa kutumia mbinu ya kuzima, au kusubiri uneme uishe bado hato pata jawabu ikiwa jamaa ame connect na friji au jiko la kupikia.
So solution hapa ni kuleta fundi akague.. haswa haswa zile nyaya ambazo zipo karibu na nyumba ya mshikaji..
 
Au inawezekana huyo mshkaji wako ana hela ya kutosha kutop up umeme kila siku...
hali ngumu za kimaisha zinaweza kukufanya uone watu wote wanaoijiweza ni wezi..............
Hamna haipo hivo.. nimetafiti mkuu.. nna uhakika na hili swala kwa asilimia zaidi ya 70.
 
NJIA sahihi ni kukagua system.

Inawezekana huyu jirani yake ka connect waya wa kwenda kutumia device moja au mbili wenda jiko au friji huku system nyingine iki fanya kazi sawa..

Kama kafanya hivi basi jamaa kwa kutumia mbinu ya kuzima, au kusubiri uneme uishe bado hato pata jawabu ikiwa jamaa ame connect na friji au jiko la kupikia.
uko sahihi chief!
 
Baada ya kutoka kwenye Luku, umeme ni wako, fuatilia huenda kuna mahali kachubua waya ambao ni"life" na kukuibia.
 
Hamna aisee huyu sijui atakuwa kabila gani.. halafu ni jamaa fulani yaani ukimuona huwezi kudhani anaweza kuwa anaiba umeme.
Kuwa nae makini mkuu,ukimbaini afunguliwe kesi ya uhujumu,mkuu kama umeoa kuwa makini na Huyo jamaa aisee.
 
Hii nyumba ninayoishi tupo wapangaji watatu kwenye compound moja. Nimehamia hapo huu ni mwezi wa pili unaenda kuisha.

Ndani ya hizi wiki chache, nimeona mabadiliko makubwa ya matumizi ya umeme. Mwanzoni ilikuwa natumia wastani wa unit 2.4 kwa siku, ila kwa sasa imepanda mpaka 3.6 kwa siku.

Nimeona sio kawaida, mpaka nimehisi kwamba inawezekana kuna jirani ananipiga umeme wangu, na ushahidi nilionao ni kwamba, mahali ilipo mita yangu ipo pamoja na jirani yangu mmoja, ila sasa maajabu nashangaa hii siku ya pili nimechunguza, hiyo mita ni kama unit za umeme za jana ndo zipo leo. Nikimaanisha kwamba, ni kama vile huyu jirani atakuwa anatumie umeme kwenye source ingine ambayo possibly ameconnect umeme wangu.

Nnachokifikiria kwa haraka haraka ni kumleta fundi wiring ili akague system nzima ya umeme wangu.

Naombeni mnipe mbinu zaidi wakuu, nimekereka sana kuligundua hili, kitendo cha mtu kuniibia huwa nakichukulia kama kuniona sina akili na kunitusi.

Nahisi kama nimuadabishe bila kumuambia chochote. Haiwezekani mtu ufikiria kupambana na maisha halafu ufikirie tena kupambana na majirani wezi.

Mbinu safi na chafu nazipokea ahsante
Usimuhisi mwenzio kuwa mwizi.

Jihakikishie. Cha msingi muite jilani yako mujadili mambo mengine mengi kuhusu upangaji na changamoto za Umeme.

Maswala ua kuuliza kuhusu umeme ili usiharibu ujilani ni kama ifuatavyo.
1. Aisee tangu nihamie hapa umeme unaenda sana, vipi na wewe ni hivyo ama ni kwangu tu?
2. Nataka nilete fundi akague wiring, nijue kama imechoka ama la.
3. Mwambie akuleleze uzoefu wake kuhusu umeme wa hizo nyumba.

Hapo utapata reaction yake na kuelewa nini kilichopo Nyuma ya pazia. Vilevile utaona umeme wako unaenda vizuri maana kunauwezeekano akaacha kutumia umeme wako,
 
hahahahhaaa...mchagga akiibiwa anahaha balaaa.......usiwe na papara....unit kwako inaweza soma zero but kwake hauzimi...why?? sbb huo mchepuko wa wire unaweza kuwa unakwenda kwenye item 1 au 2!! yes, fridge au jiko....so hiyo kwake ni internal....atajua mwenyewe kimya kimya....ukinunua kwake kama kawa......ita fundi akague bila wewe kumwambia unahisi kuna uhalifu unaendelea....yeye agundue kwanza (fundi)....ukigundua pigisha shoti vitu zake then kimyaaaaa....hiyo diversion unaiacha unakata kwenye mainswitch....upanga kwa upanga....
 
Mkuu mimi na mbinu chafu tu za kukabiliana na huyo mwizi umeme (Kishoka).
 
Mkuu...Hilo tukio huenda likafanana na tukio hili, kuna mpangaji mmoja alipanga kwenye nyumba sehemu ya ukumbi mkubwa,ambapo anatumia kuonesha move na mpira,Sasa ukumbi anaotumia na nhyumba niliyokuwa nimepanga wanatumia luku moja......alichokifanya alimwita fundi akafanya makarateee yakeee.......na kisha akaweka luku yake......mziki ukawa hapaaa sasaaa, tukiweka umeme,tunatumia wote. Ukiiisha umeme wetu,anaponyeza sehemu,anatumia WA kwakwe. Tukaja kustuka baada ya kuona mbona umeme ukikatika kwetu,kwa maana ukiiisha na yeye unakata kwakwe,lakini baada ya dk 2, kwakwe yanarudi na kuendelea na kaziiii.....tulimwashia motooo,wakaja tanesco wakamkamata hiyo jamaa....akapigwa fainiiiii
 
Back
Top Bottom