Nisaidieni mshangazi kupungua kilo 10 chap!

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Jana nimemuona daktari akaniambia nipungue uzito. Wenye uzoefu, leteni ushauri nifanyaje nataka niondoshe kilo 10 mpaka 15. Leo nimeanza mazoezi na kula high protein diet.



BMI yangu kama unavyoiona hapo👇, usiniulize kilo zangu fahamu tu niko overweight.



Haya nishaurini nini cha kufanya nipungue uzito, nitasikiliza.

Pia kuwa specific, ukisema fanya mazoezi niambie mazoezi ya aina gani na for how long?

Cc:
makutupora
realMamy
Nomadix
Mallerina
Mwachiluwi
bonjov
 
Usikimbie ,tembea, mayai ya kuchemsha matano, usile asubuhi epuka kabisa ugali na wali, achana na mafuta ya mbegu

Afya kwako
 
Kula mara mbili kwa siku,acha kula ugali wa mahindi na wali,mazoez fanya haya jumping lunges,jumping jacks,sit ups,Russian twists,london bridges,dips nk
Kula matunda yasio na sukari,achana na sukari kwenye chai pia. Ni hayo tu
 
Unapatikana wap madam
 
Siri ipo kwenye ulaji tu na jitahidi ule ukisikia njaa tu, chakua cha jioni ule mapema two hours before you sleep. Mazoezi anza yale mepesi mpaka u-gain momentum, kama rope jumping, squating, jumping jacks, high knees, burpee, lunge but cruch jipe muda ukizoea hayo nilioyokutajia.

Uwe na maji karibu but usinywe mengi sana fundo dogo, ukiwa unafanya hakikisha unaenda kwa sekunde dakika 2 unapumzika, na pumzika yako usipoe sana mwili 😄, later on utapata momentum ya 5, 10, 15 kuendelea sababu mwili ushazoea.

Jipangie muda mzuri kama una nafasi asubuhi huwa safi sana na jioni pia.

You can do it
Mshangazi dot com
 
nifanye kuwa personal trainer wako
 
Chi chi chibonge nani alisema vibonge hawapigi miunoo...
Nakukubali sana Aunt yangu hata uwe chibonge.
______________
Kaushauri kangu sasa:
Toka jasho, jasho jingi utajua mwenyewe unatokaje jasho kama ni jogging,running,cardio kegels, mizagamuo me sijui but utoke jasho
______________
Junk & ready-made food is your number one enemy, pika mwenyewe maprotein ya kutosha na kijiugali chako/wali acha vyakula vya mafuta mafuta maybe mafuta ya samaki tu.

____________
Aunt yangu natamani ningekupa ushauri mzuri, ila siko sawa kwenye Medulla & Amygdalla zangu leo nitawaachia wengine jahazi.

Cc: Mshangazi dot com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…