Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
- #61
🤣 🤣 Mai na hali hii si nitapata na presha juu. Hofu yangu kubwa ni Mr. kuniletea katoto ka nje kwa umri huu, halafu awe amezaa na kabinti ka alfu mbili daah hapo nitapungua kwa kweli!Sasa hapo dear pata mwanaume Pasua kichwa 😀 mvurugo wa siku moja kilo 30 kwisha 😅