Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante, nitafanyia kazi na kuangalia hayo mazoezi youtube.Siri ipo kwenye ulaji tu na jitahidi ule ukisikia njaa tu, chakua cha jioni ule mapema two hours before you sleep. Mazoezi anza yale mepesi mpaka u-gain momentum, kama rope jumping, squating, jumping jacks, high knees, burpee, lunge but cruch jipe muda ukizoea hayo nilioyokutajia.
Uwe na maji karibu but usinywe mengi sana fundo dogo, ukiwa unafanya hakikisha unaenda kwa sekunde dakika 2 unapumzika, na pumzika yako usipoe sana mwili 😄, later on utapata momentum ya 5, 10, 15 kuendelea sababu mwili ushazoea.
Jipangie muda mzuri kama una nafasi asubuhi huwa safi sana na jioni pia.
You can do it
Mshangazi dot com
Sawa nitazingatia kutoka jasho na kula.Chi chi chibonge nani alisema vibonge hawapigi miunoo...
Nakukubali sana Aunt yangu hata uwe chibonge.
______________
Kaushauri kangu sasa:
Toka jasho, jasho jingi utajua mwenyewe unatokaje jasho kama ni jogging,running,cardio kegels, mizagamuo me sijui but utoke jasho
______________
Junk & ready-made food is your number one enemy, pika mwenyewe maprotein ya kutosha na kijiugali chako/wali acha vyakula vya mafuta mafuta maybe mafuta ya samaki tu.
____________
Aunt yangu natamani ningekupa ushauri mzuri, ila siko sawa kwenye Medulla & Amygdalla zangu leo nitawaachia wengine jahazi.
Cc: Mshangazi dot com
Sio mtu walaSawa nitazingatia kutoka jasho na kula.
Pole, ila nani kakuvuruga tena mpwa?
Ndiyo naweza Lucha, nitakuchekiKama unaweza kufanya hilo zoezi la huyo mwanamke ulieweka picha yake nicheki kuna vitu kidogo nikuongezee utapungua
Kumbe naweza kupungua mkia ukabaki 😅 , nakucheki fasta!Nicheki nikupe dietician/nutritionist mzuri upunguze tumbo, usipunguze kifua wala tako.
Perfect adviceOngeza idadi ya wanaume wa kukupiga miti
Niko kama huyu ila chini aongezeka kidogoWeka kwanza picha, huenda sio mnene inaiga uzungu tu
Alafu kwa umri wako uliodumu hapa jf, toka mwaka 2011 ni umri unaoweza kutoa laana kabisaNdiyo naweza Lucha, nitakucheki
Mi sitoi laana, ni upendo tuAlafu kwa umri wako uliodumu hapa jf, toka mwaka 2011 ni umri unaoweza kutoa laana kabisa