ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kwa umbo hilo hata PM sijui kukutongoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa umbo hilo hata PM sijui kukutongoza
Nipate na presha juu, akuunjia rahisi ni kumpekuapekua mumeo/mpenzi hasa kwenye simu yake. ukibaini ana mchepuko walah hizo kilo zitaisha kwa wiki moja tu
Kweli hujui 😎Kwa umbo hilo hata PM sijui kukutongoza
😃😅😀 Ukipungua uzito na kukata tumboKweli hujui 😎
Ila watu wameshatosha huku PM, tena ngoja niifunge!
🥺 Usingufe PM ... Ntakufungulia mashtakaaaKweli hujui 😎
Ila watu wameshatosha huku PM, tena ngoja niifunge!
Mpaka nimelia jomoniiiiii 😂😃😅😀 Ukipungua uzito na kukata tumbo
Nitakuwa wako mshangazi
Mpaka nimelia jomoniiiiii 😂
View attachment 3250894
Tumia Gongo namba one inasafisha mafuta Yote mwilini na hamudu ya kula inapungua hujui wanyagongo miwili Yao inakaa fit minyoo Yote huuliwa na gongolambotoJana nimemuona daktari akaniambia nipungue uzito. Wenye uzoefu, leteni ushauri nifanyaje nataka niondoshe kilo 10 mpaka 15. Leo nimeanza mazoezi na kula high protein diet.
View attachment 3250676
BMI yangu kama unavyoiona hapo👇, usiniulize kilo zangu fahamu tu niko overweight.
View attachment 3250672
Haya nishaurini nini cha kufanya nipungue uzito, nitasikiliza.
Pia kuwa specific, ukisema fanya mazoezi niambie mazoezi ya aina gani na for how long?
Cc:
makutupora
realMamy
Nomadix
Mallerina
Mwachiluwi
bonjov
Mdogo akeee unajua sinywi bia, nitazingatia msosi maana hapo ndiyo kwenye shida, namna ya kuacha kitimoto sijui nitafanyaje.Mimi naamini kwenye ulaji ... Nina ndugu yangu ni wale wasabato masalia Hali nyama, Hali chakula chenye mafuta, yaani vyakula vyake ugali, viazi vya kuchemsha
Hajawahi kunenepa ... Tuachane huyo
Kuwa na nidhamu kwenye msosiii! ... I hope you don't drink beer! ... Maana bia nazo kwa wadada zinawatoa vitambi.
Anza kufunga kwa lazima, afu uwe na walking prayers ... Uwe unakata wese huku ububujika Rohoni 😂
Ili usijie ukawa Yeshuruni 🤣🤣🤣👇👇
Kumbukumbu la Torati 32:15
[15]Lakini Yeshuruni alinenepa, akapiga teke;
Umenenepa, umekuwa mnene, umewanda;
Ndipo akamwacha Mungu aliyemfanya,
Akamdharau Mwamba wa wokovu wake.
🤣 Hiyo kitimoto .. ni kuiangalia kama adui yako anakuzuia kufikia Malengo yako!Mdogo akeee unajua sinywi bia, nitazingatia msosi maana hapo ndiyo kwenye shida, namna ya kuacha kitimoto sijui nitafanyaje.
Halafu ukianza kuniwekea na mistari ya biblia naona unanichanganya tu.
Tumbo limejaa mavi hilo.Jana nimemuona daktari akaniambia nipungue uzito. Wenye uzoefu, leteni ushauri nifanyaje nataka niondoshe kilo 10 mpaka 15. Leo nimeanza mazoezi na kula high protein diet.
View attachment 3250676
BMI yangu kama unavyoiona hapo👇, usiniulize kilo zangu fahamu tu niko overweight.
View attachment 3250672
Haya nishaurini nini cha kufanya nipungue uzito, nitasikiliza.
Pia kuwa specific, ukisema fanya mazoezi niambie mazoezi ya aina gani na for how long?
Cc:
makutupora
realMamy
Nomadix
Mallerina
Mwachiluwi
bonjov
Sasa hapo dear pata mwanaume Pasua kichwa 😀 mvurugo wa siku moja kilo 30 kwisha 😅Jana nimemuona daktari akaniambia nipungue uzito. Wenye uzoefu, leteni ushauri nifanyaje nataka niondoshe kilo 10 mpaka 15. Leo nimeanza mazoezi na kula high protein diet.
View attachment 3250676
BMI yangu kama unavyoiona hapo👇, usiniulize kilo zangu fahamu tu niko overweight.
View attachment 3250672
Haya nishaurini nini cha kufanya nipungue uzito, nitasikiliza.
Pia kuwa specific, ukisema fanya mazoezi niambie mazoezi ya aina gani na for how long?
Cc:
makutupora
realMamy
Nomadix
Mallerina
Mwachiluwi
bonjov
Hance, kwa nini uko hivyo lakiniTumbo limejaa mavi hilo.
Punguza kula kula hovyo haswa vyakula vya wanga badala yake pendelea zaidi protini,matunda, maji kwa ajili ya kuyeyushia mafuta.
Jitahidi uwe unakunya angalau mara 2 kwa siku , pendelea mapapai kulahisisha mavi yawe yanatoka kiwepesi
Njoo inbox nikupe ushauri ndani ya mwezi utakuwa Poa kabisa mazoezi na chakula gani cha kutumia bila kusahau green juice malipo baada ya matokeo.Jana nimemuona daktari akaniambia nipungue uzito. Wenye uzoefu, leteni ushauri nifanyaje nataka niondoshe kilo 10 mpaka 15. Leo nimeanza mazoezi na kula high protein diet.
View attachment 3250676
BMI yangu kama unavyoiona hapo👇, usiniulize kilo zangu fahamu tu niko overweight.
View attachment 3250672
Haya nishaurini nini cha kufanya nipungue uzito, nitasikiliza.
Pia kuwa specific, ukisema fanya mazoezi niambie mazoezi ya aina gani na for how long?
Cc:
makutupora
realMamy
Nomadix
Mallerina
Mwachiluwi
bonjov