Nisaidieni mshangazi kupungua kilo 10 chap!

Mimi naamini kwenye ulaji ... Nina ndugu yangu ni wale wasabato masalia Hali nyama, Hali chakula chenye mafuta, yaani vyakula vyake ugali, viazi vya kuchemsha

Hajawahi kunenepa ... Tuachane huyo

Kuwa na nidhamu kwenye msosiii! ... I hope you don't drink beer! ... Maana bia nazo kwa wadada zinawatoa vitambi.

Anza kufunga kwa lazima, afu uwe na walking prayers ... Uwe unakata wese huku ububujika Rohoni 😂

Ili usijie ukawa Yeshuruni 🤣🤣🤣👇👇

Kumbukumbu la Torati 32:15

[15]Lakini Yeshuruni alinenepa, akapiga teke;
Umenenepa, umekuwa mnene, umewanda;
Ndipo akamwacha Mungu aliyemfanya,
Akamdharau Mwamba wa wokovu wake.
 
Fanya haya na matokeo uta ya pata.

1.Acha vyakula vya wanga mwepesi bali tumia wanga mgumu zilizo chemshwa Mihogo,Magimbi ndizi ( mbichi ),viazi sio vya chips.

2.Achana na vyakula vyote vinavyo tokana na ngano yani chapati,Maandazi,visheti nk

3.Achana na vitu vya Sukari kabisa kama chai,Soda, Juice za aina yote za kutengeneza nyumbani na kiwandani.

4.Usile matunda .

5.Achana na bia kwani ni product ya ngano.

Kula Protine za aina yoyote ile,mboga mboga zote za majani na mboga zenye asili ya mbegu kama maharage,kunde,njengere,njugu.

Kunywa maji muda wote unao taka .

Kwa kuwa una hitaji matokea ya muda mfupi kula mlo mmoja tu kwa siku .

Ndani ya miezi miwili una punguza kati ya 10 kg hadi 12 kg.
 
Tumia Gongo namba one inasafisha mafuta Yote mwilini na hamudu ya kula inapungua hujui wanyagongo miwili Yao inakaa fit minyoo Yote huuliwa na gongolamboto
 
Mdogo akeee unajua sinywi bia, nitazingatia msosi maana hapo ndiyo kwenye shida, namna ya kuacha kitimoto sijui nitafanyaje.

Halafu ukianza kuniwekea na mistari ya biblia naona unanichanganya tu.
 
Mdogo akeee unajua sinywi bia, nitazingatia msosi maana hapo ndiyo kwenye shida, namna ya kuacha kitimoto sijui nitafanyaje.

Halafu ukianza kuniwekea na mistari ya biblia naona unanichanganya tu.
🤣 Hiyo kitimoto .. ni kuiangalia kama adui yako anakuzuia kufikia Malengo yako!

Jitahidi PolePole utaweza my dyadyaaa
 
Tumbo limejaa mavi hilo.

Punguza kula kula hovyo haswa vyakula vya wanga badala yake pendelea zaidi protini,matunda, maji kwa ajili ya kuyeyushia mafuta.
Jitahidi uwe unakunya angalau mara 2 kwa siku , pendelea mapapai kulahisisha mavi yawe yanatoka kiwepesi
 
jitahidi kuwa unakula kwa wingi junk foods,chips, pizzas, burgers, cakes ,biscuits, chocolate and sweets,sodas, energy drinks, beer usipopungua ndani ya week njoo uniulize
 
Sasa hapo dear pata mwanaume Pasua kichwa 😀 mvurugo wa siku moja kilo 30 kwisha 😅
 
Hance, kwa nini uko hivyo lakini
 
Njoo inbox nikupe ushauri ndani ya mwezi utakuwa Poa kabisa mazoezi na chakula gani cha kutumia bila kusahau green juice malipo baada ya matokeo.
 
Hizo nimiongoni .wa sifa zenu nyinyi mishangazi haina haja yakupunguza uzito . wema tunashindwa kumwita mshangazi sababu ya umbo lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…