Nisaidieni, najihisi kabisa nimepewa limbwata

Nisaidieni, najihisi kabisa nimepewa limbwata

Ni Kawaida Mkuu Hujarogwa hata chembe sema sasa....
Kiuno kimekunasisha.
Ni kawaida sana kwenye mapenzi.
Nikuulize kitu....Je ni kwann hutunzi mke na mtoto?

Kama kuna ushawishi hata tone wa mmakonde mkimbie kama Jet...kama hajakushawishi kausha nenda nae mdogo mdogo...

Halafu mbona Mmakonde hajakuzalia 4 yrs? Angekua na future na ww Angekupa Mtoto ili ajimilikishe...jiongeze

Na mwisho Baba wa hao watoto niaje? Anaonekana?
 
Mzee pole sana! Lakini uno la kimakonde halinaga mifupa....

Sasa wewe unaonekana unapenda kuchakata sana kama mimi lakini tatizo lako ni kuwa alikukatia mauno ukamsahau wife wako....

Ushauri wangu ishi naye huyo mmakonde hivo hivo alafu mke kule nyumbani muhudumie ipasavyo maana nimegundua mke wako hana msaada katika mauno yaani ni mchagga na hajui kuyarudi mauno vilivyo, wewe usitafute mchawi, mchawi ni mauno mmakonde anajua kuyarudi.

Sasa balaa zito ni pale utapo step up na kucheki binti mwingine utakuwa umeisha maana utapata unachotafuta kwani hao watoto wa tatu shingapi na kule home gharamia wakwako afu ikiwezekana ongeza toto lingine hapo kwa mmakonde.
Bonge la ushauri...
Fanya hivi hivi mwanaume mwenzetu..
 
Back
Top Bottom