Nisaidieni, najihisi kabisa nimepewa limbwata

Ni Kawaida Mkuu Hujarogwa hata chembe sema sasa....
Kiuno kimekunasisha.
Ni kawaida sana kwenye mapenzi.
Nikuulize kitu....Je ni kwann hutunzi mke na mtoto?

Kama kuna ushawishi hata tone wa mmakonde mkimbie kama Jet...kama hajakushawishi kausha nenda nae mdogo mdogo...

Halafu mbona Mmakonde hajakuzalia 4 yrs? Angekua na future na ww Angekupa Mtoto ili ajimilikishe...jiongeze

Na mwisho Baba wa hao watoto niaje? Anaonekana?
 
Bonge la ushauri...
Fanya hivi hivi mwanaume mwenzetu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…