Nisajili laini gani nyingine tofauti na TTCL na Vodacom?

Nisajili laini gani nyingine tofauti na TTCL na Vodacom?

zink

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2021
Posts
1,208
Reaction score
2,352
Habari wakuu,

Kwa sasa ningependa kuongeza laini nyingine yenye ofa nzuri nzuri za vifurushi, je ni laini gani ingefaaa maana naona nishazichoka voda na TTCL.

Nawasilisha.
 
Wote hakuna kitu unajisumbua tu tulia ulipo..
 
Laini ya nzuri nii ya kuvuwa watu siri zao aka TIGO kimba your self
 
Japo Voda mabando yao ni ghali lkn sijawahi kufikiria kuwahama.
Ni kweli mkuu lakini nataka niongeze nyingine maana nasikia halotel mambo ni supa sijui kweli au ?
 
Hakuna mtandao wenye ofa nzuri kwa sasa.
Kila kukicha nafuu ya jana
Habari wakuu
Kwa sasa ningependa kuongeza laini nyingine yenye ofa nzuri nzuri za vifurushi, je ni laini gani ingefaaa maana naona nishazichoka voda na ttcl.
Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom