Nisamehe Rais wangu Magufuli

Tiger B

Senior Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
172
Reaction score
229
Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.

Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
 
Endelea kupumzika kwa amani🙏🙏
 
Jiwe alikua satan killer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…