Endelea kupumzika kwa amani🙏🙏Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.
Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
Mods Naomba huu uzi usichanganywe na uzi mwingine. Najua tuko wengi ambao tunamkumbuka Mheshimiwa Rais wa awamu ya tano kwa mema yake. Angalau tutiane faraja. Ahsante
View attachment 3000115Rest in peace!🤒
Hakuna bara bara nchini yenye kms 30 inayojengwa kwa kiwango cha lami, mkandarasi Yuko site.Ujenzi wa SGR Dodoma - Makutupora wasitishwa
Jiwe alikua satan killerMimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.
Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
Mods Naomba huu uzi usichanganywe na uzi mwingine. Najua tuko wengi ambao tunamkumbuka Mheshimiwa Rais wa awamu ya tano kwa mema yake. Angalau tutiane faraja. Ahsante
Huyo killerMwamba amejaza picha zake kwa simu yangu.
Killer kwko kwetu a a aaaahHuyo killer
Hata angefilisiwa kwa haki bado angejenga chuki ndio maana sio wote wenye kuona Magufuli hakufaa ni kwa sababu ya maslahi ya nchi bali kwa mambo yao binafsi.Angekutia ukilema wewe hapo au kufilisiwa kwa hila, usingesema haya