Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Nenda mpaka kaburini kwake Chato, usitupotezee muda kuna mambo ya muhimu ya kufanyaVizuri kabisa kila mtu ana sababu zake kumkumbuka hivyo sioni haja wewe kuchukizwa na kutokwa mapovu kwa wengine wenye sababu tofauti na zako za kumkumbuka Magufuli.