Niseme nini kuhusu ushindi wa Stories of Change?

Niseme nini kuhusu ushindi wa Stories of Change?


Kila kitu kilikuwa kama maigizo kabla ya kuona rasmi napokea muamala kama mnavyoona hapo juu. Sina la kusema zaidi ya kuwashukuru JamiiForums kwa kunipatia hela hii ambayo sitahitaji ushauri wa jinsi ya kuitumia.

Nimefungua akaunti hii muda mrefu sana, nikawa napata vijisent vya hapa na pale kwa kuandika tafiti nikiwa na wenzangu ambao kwa sasa kila mtu ameajiriwa kimpango wake.

Nashukuru kwamba sijaacha suala la kuandika na kupitia Stories of Change nimepata hiki kiinua mgongo ambacho kinatosha kuanzisha walau kampuni tuliyowaza kuianzisha.

Naomba niwaambie kuwa mimi ni mtafiti, nimeshapublish zaidi ya paper moja kwenye reputable journal, pia nimepresent majukwaa mengi ya kimataifa. Kwa mwaka huu nimefanya presentation mbili.

Naomba ieleweke kuwa bado naendelea kushauri wanafunzi wa post graduate kuhusu tafiti, aidha kama taasisi inahitaji kupata tafiti na pia nasaidia kufanya statistical analysis kwa software yoyote unayoihitaji. Ukitaka training ya matumizi ya software tafadhali nicheki Instagram au kwa namba yangu ya simu ambayo ipo kwenye posts zilizotangulia humu.
Karibuni inbox au kokote kwa kupiga story, kubadilishana mawazo na kupeana michongo.

NB: Hela zina matumizi usije kukopa

Nitumie nafasi hii kuwashukuru sana JamiiForums. Kongole kwenu
Asilimia kumi NI Kwa Mungu iende.usisahaaaau kwa maana aliyekupa wewe ndio kawanyima wenzako
 
Huko ndani ndani ndio kuzuri hakuna umbea.

Kikao kinafanyika vizuri sana..

Onyo: wasiwepo hawa 20s wawepo MASHANGAZI.

Pesa ya ushindi ina raha sana na ushindi ukiwa wa halali.
Kaka Tlaatlaah tukutane bro, hiki ni kikao muhimu tukiwa na Saad30 , Onyo lake lizingatiwe, wawepo wenye experience tu, hivyo vya 20s wakale ice cream
 

Kila kitu kilikuwa kama maigizo kabla ya kuona rasmi napokea muamala kama mnavyoona hapo juu. Sina la kusema zaidi ya kuwashukuru JamiiForums kwa kunipatia hela hii ambayo sitahitaji ushauri wa jinsi ya kuitumia.

Nimefungua akaunti hii muda mrefu sana, nikawa napata vijisent vya hapa na pale kwa kuandika tafiti nikiwa na wenzangu ambao kwa sasa kila mtu ameajiriwa kimpango wake.

Nashukuru kwamba sijaacha suala la kuandika na kupitia Stories of Change nimepata hiki kiinua mgongo ambacho kinatosha kuanzisha walau kampuni tuliyowaza kuianzisha.

Naomba niwaambie kuwa mimi ni mtafiti, nimeshapublish zaidi ya paper moja kwenye reputable journal, pia nimepresent majukwaa mengi ya kimataifa. Kwa mwaka huu nimefanya presentation mbili.

Naomba ieleweke kuwa bado naendelea kushauri wanafunzi wa post graduate kuhusu tafiti, aidha kama taasisi inahitaji kupata tafiti na pia nasaidia kufanya statistical analysis kwa software yoyote unayoihitaji. Ukitaka training ya matumizi ya software tafadhali nicheki Instagram au kwa namba yangu ya simu ambayo ipo kwenye posts zilizotangulia humu.
Karibuni inbox au kokote kwa kupiga story, kubadilishana mawazo na kupeana michongo.

NB: Hela zina matumizi usije kukopa

Nitumie nafasi hii kuwashukuru sana JamiiForums. Kongole kwenu
Sasa milioni saba nayo hela?
 
Oya mkuu, hongera sana kwa maokoto.
Kuhusu mafwedha ushasema tusikupangue matumizi.
Mimi swali la kizushi, huyo mtoto hapo wa kwanza kushoto kwenye picha hapo juu, ulifanikiwa kupata japo ka namba kake?
Pesa utaninyima, lakini hata ka namba ka huyo mtoto unibanie?
Embu fanya maajabu ndugu yangu niende akanielekeze kuhusu kuandika mastory ya ku change
 
Oya mkuu, hongera sana kwa maokoto.
Kuhusu mafwedha ushasema tusikupangue matumizi.
Mimi swali la kizushi, huyo mtoto hapo wa kwanza kushoto kwenye picha hapo juu, ulifanikiwa kupata japo ka namba kake?
Pesa utaninyima, lakini hata ka namba ka huyo mtoto unibanie?
Embu fanya maajabu ndugu yangu niende akanielekeze kuhusu kuandika mastory ya ku change
Hahahaha... Siyo wafanyakazi kwelii wa JF hao na mwenzake wa mwisho kulia

Sema yuko byeee aise...
 
Oya mkuu, hongera sana kwa maokoto.
Kuhusu mafwedha ushasema tusikupangue matumizi.
Mimi swali la kizushi, huyo mtoto hapo wa kwanza kushoto kwenye picha hapo juu, ulifanikiwa kupata japo ka namba kake?
Pesa utaninyima, lakini hata ka namba ka huyo mtoto unibanie?
Embu fanya maajabu ndugu yangu niende akanielekeze kuhusu kuandika mastory ya ku change
Hebu icrop picha ili niwe na uhakika
 
Hela za kupokea public Zina adhari zake.... anyway ongeza mke chief
 
Naomba kwenye hiyo hela unimegee LAKI MBILI tu, nina shida sana MWAISA.

Kumradhii mheshimiwa! Nikutumie namba yangu ya MPESA???
 
This is vawulance
Umeanza sasa...
Ka namba ka simu tu unataka niandike thesis?
We niwekelee mshkaji wangu na mimi nkafaidi mema ya dunia.
We enjoy maokoto, mimi niache niienjoy hiyo totoz..
Au tuambizane tu ukweli kama na wewe unasalandia ili nifunge mguu nipige kwata kama afabde kurudi sitimbi.
 
Umeanza sasa...
Ka namba ka simu tu unataka niandike thesis?
We niwekelee mshkaji wangu na mimi nkafaidi mema ya dunia.
We enjoy maokoto, mimi niache niienjoy hiyo totoz..
Au tuambizane tu ukweli kama na wewe unasalandia ili nifunge mguu nipige kwata kama afabde kurudi sitimbi.
Huyo namba yake sikuchukua mkuu, ila unaweza kuipata ukiweka tangazo
 
Back
Top Bottom