[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] si ndio nimeshangaa nikasema babe kumbe huwa anaombà omba[emoji23][emoji23][emoji23]
Babe ila nilikua natania tu me hata siwaombagi [emoji74] nikiwaonaga.... lol
Sent using Jamii Forums mobile app
AseeehMwifwa, Mzigua90, General Mangi, baba swalehe, kijani11, Hornet, Shunie, colietha, asanteni kwa kunipa like
hahaa raha sana aiseee😂😂yaan hum leo kila mtu aymtacommentWacha kabisa....
Wanawake wa jeiefu tunalo leo... Kila sifa mbaya ni zetu lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Alaaah! kumbe ni watani wa jadi, mada ya Da Jane niliiona ndio.... basi 2019 upande wa pili nao utarudisha majibu kwa mada murua ya kufungulia mwaka, lolHahahaa!
Kusema ukweli haya mambo [hizi mada] huwa yana msimu wake.
Leo jamaa kaliamsha dude. Majuzi hapa DaJane naye alilianzisha.
Kuna kipindi wanaume waliandamwa sana hadi kupewa majina ya ‘Pugi’, mara sijui ‘Bwana Pepsi’, mara sijui nini...n.k.
Ukiwa objective observer utagundua kuwa jinsia zote huwa zinashambuliana shambuliana.
Hivyo, kimsingi hii mada haina jipya. Haya mambo yameshajadiliwa sana huko nyuma, yanaendelea kujadiliwa, na yataendelea kujadiliwa.
Labda kilicho kipya hapa ni mwanzisha mada tu kuwa tofauti. Lakini maudhui ni yale yale.
Na naweza kuweka dau [licha ya umaskini wangu huu] kuwa huu si mwisho wa mada zenye haya maudhui.
Muda si mrefu atakuja mtu mwenye ID ya mdada na ataanzisha mada ya kuwaponda ‘wanaume wa JF’.
Watch this space.....
Nawe vale mhenga mwenzangu hujazoea tu haya mamboWacha kabisa....
Wanawake wa jeiefu tunalo leo... Kila sifa mbaya ni zetu lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol, sina undugu na Matonya jamaniiii... kwako nimefikaaaaa.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] si ndio nimeshangaa nikasema babe kumbe huwa anaombà omba
Sent using Jamii Forums mobile app
Naandaa pilao hapa .wahi bnaHahahaa!
Kusema ukweli haya mambo [hizi mada] huwa yana msimu wake.
Leo jamaa kaliamsha dude dhidi ya wachuchu. Majuzi hapa DaJane naye alilianzisha dhidi ya ‘wanaume wa JF’.
Kuna kipindi pia wanaume waliandamwa sana hadi kupewa majina ya ‘Pugi’, mara sijui ‘Bwana Pepsi’, mara sijui nini...n.k.
Ukiwa objective observer utagundua kuwa jinsia zote huwa zinashambuliana shambuliana.
Hivyo, kimsingi hii mada haina jipya. Haya mambo yameshajadiliwa sana huko nyuma, yanaendelea kujadiliwa, na yataendelea kujadiliwa.
Labda kilicho kipya hapa ni mwanzisha mada tu kuwa tofauti. Lakini maudhui ni yale yale.
Na naweza kuweka dau [licha ya umaskini wangu huu] kuwa huu si mwisho wa mada zenye haya maudhui.
Muda si mrefu atakuja mtu mwenye ID ya mdada na ataanzisha mada ya kuwaponda ‘wanaume wa JF’.
Watch this space.....
Duuuh.Mwanzo nlikuwa naamini wanawake walioko JF ni big brains, smart ones. Nikajiaminisha kwamba hapa ndo mahali pazuri pa kupatia mchumba.
Sikuwahi kuandika uzi wa kutafuta mchumba, but nimewafuata wale wanaotafuta kwenye PM zao sana. Nikaja kubahatika kumpata mdada mmoja ambaye niliona atanifaa kwani tulikuwa tunaendana kwa % kubwa plus tunatoka mkoa mmoja.
Tulianza mahusiano vizuri kabsa ambayo yalidumu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Lakini mateso aliyokuja kunipa sitokaa niyasahau kamwe maishani mwangu. Mateso aliyonipa yule mwanamke yalikuw makubwa mnoo kwani yaligusa kila nyanja ya maisha yangu mpaka kazi yangu. Kwa funzo alilonipa yule mwanamke sidhan km kuna mwanamke atanipa shida tenaa maishan mwangu.
All in all namtakia maisha mema na Mungu ambariki.
Alaaah! kumbe ni watani wa jadi, mada ya Da Jane niliiona ndio.... basi 2019 upande wa pili nao utarudisha majibu kwa mada murua ya kufungulia mwaka, lol
Ngoja nishike jembe nikalime mie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume nao tupoje aslimia kubwa wakuu mama..wekeni nasi tujisome.Nikweli ila sio kwa wadada tu hiyo mada ni ya wanaume na wanawake.
Nimeshawashauri tu.
HahahhahahhahHaha low profile ndiyo akina nani mkuu?Mada hii ingeletwa na member mwingine mwenye low profile,angekiona cha moto
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio mvulana,Lol,
Sionani na wavulana naonana na wasichana kama wewe msichana njoo tuonane ila nikikuelewa nitakuomba [emoji74].
Sent using Jamii Forums mobile app
Raha rahani mama wacha tusogeze sikuha
hahaa raha sana aiseee[emoji23][emoji23]yaan hum leo kila mtu aymtacomment