Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Hahahaa!

Kusema ukweli haya mambo [hizi mada] huwa yana msimu wake.

Leo jamaa kaliamsha dude. Majuzi hapa DaJane naye alilianzisha.

Kuna kipindi wanaume waliandamwa sana hadi kupewa majina ya ‘Pugi’, mara sijui ‘Bwana Pepsi’, mara sijui nini...n.k.

Ukiwa objective observer utagundua kuwa jinsia zote huwa zinashambuliana shambuliana.

Hivyo, kimsingi hii mada haina jipya. Haya mambo yameshajadiliwa sana huko nyuma, yanaendelea kujadiliwa, na yataendelea kujadiliwa.

Labda kilicho kipya hapa ni mwanzisha mada tu kuwa tofauti. Lakini maudhui ni yale yale.

Na naweza kuweka dau [licha ya umaskini wangu huu] kuwa huu si mwisho wa mada zenye haya maudhui.

Muda si mrefu atakuja mtu mwenye ID ya mdada na ataanzisha mada ya kuwaponda ‘wanaume wa JF’.

Watch this space.....
Alaaah! kumbe ni watani wa jadi, mada ya Da Jane niliiona ndio.... basi 2019 upande wa pili nao utarudisha majibu kwa mada murua ya kufungulia mwaka, lol

Ngoja nishike jembe nikalime mie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaa!

Kusema ukweli haya mambo [hizi mada] huwa yana msimu wake.

Leo jamaa kaliamsha dude dhidi ya wachuchu. Majuzi hapa DaJane naye alilianzisha dhidi ya ‘wanaume wa JF’.

Kuna kipindi pia wanaume waliandamwa sana hadi kupewa majina ya ‘Pugi’, mara sijui ‘Bwana Pepsi’, mara sijui nini...n.k.

Ukiwa objective observer utagundua kuwa jinsia zote huwa zinashambuliana shambuliana.

Hivyo, kimsingi hii mada haina jipya. Haya mambo yameshajadiliwa sana huko nyuma, yanaendelea kujadiliwa, na yataendelea kujadiliwa.

Labda kilicho kipya hapa ni mwanzisha mada tu kuwa tofauti. Lakini maudhui ni yale yale.

Na naweza kuweka dau [licha ya umaskini wangu huu] kuwa huu si mwisho wa mada zenye haya maudhui.

Muda si mrefu atakuja mtu mwenye ID ya mdada na ataanzisha mada ya kuwaponda ‘wanaume wa JF’.

Watch this space.....
Naandaa pilao hapa .wahi bna
IMG_20181230_121140.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo nlikuwa naamini wanawake walioko JF ni big brains, smart ones. Nikajiaminisha kwamba hapa ndo mahali pazuri pa kupatia mchumba.

Sikuwahi kuandika uzi wa kutafuta mchumba, but nimewafuata wale wanaotafuta kwenye PM zao sana. Nikaja kubahatika kumpata mdada mmoja ambaye niliona atanifaa kwani tulikuwa tunaendana kwa % kubwa plus tunatoka mkoa mmoja.

Tulianza mahusiano vizuri kabsa ambayo yalidumu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Lakini mateso aliyokuja kunipa sitokaa niyasahau kamwe maishani mwangu. Mateso aliyonipa yule mwanamke yalikuw makubwa mnoo kwani yaligusa kila nyanja ya maisha yangu mpaka kazi yangu. Kwa funzo alilonipa yule mwanamke sidhan km kuna mwanamke atanipa shida tenaa maishan mwangu.

All in all namtakia maisha mema na Mungu ambariki.
Duuuh.
Watu mmeumizwa humu ndani bwana.
 
Alaaah! kumbe ni watani wa jadi, mada ya Da Jane niliiona ndio.... basi 2019 upande wa pili nao utarudisha majibu kwa mada murua ya kufungulia mwaka, lol

Ngoja nishike jembe nikalime mie.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mada zenye haya maudhui zipo nyingi tu humu, hususan jukwaa la Chit-Chat.

Ndo maana nikasema, ukiwa objective observer, huo ukweli utauona.

Ngoja nikuulize, kimaudhui, mada ya DaJane na hii ya huyu jamaa, zina tofauti gani ya kimsingi ukiacha kuwa DaJane alikuwa anawazungumzia ‘wanaume wa JF’ na huyu jamaa anawazungumzia ‘wanawake wa JF’?

Sorry kama nimekuzamisha kwenye mambo ya kifalsafa zaidi....
 
Back
Top Bottom