Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Oouh....nimekuelewa...itabidi tu-mprove wrong sasa.

Fanya basi hivyo.
 
Kwa hiyo sisi tunaotafuta humu wake hatuna akili? Kwa kigezo kipi ujinga mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka nimejiunga jf nilishaapa kamwe sitatongoza avatar hta cku1, wanawake wamejaa tele mtaani, wanawake wa umu na wanaume wa umu jf thread zao ni mgegedo2 mwanzo mwisho, Gudume umeongea ukweli %100

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duhhh huyo mtu anapatikana humu humu !!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…