Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Kama kachukua muda wake kuandika habari ndefu kiasi hiki inawezekana ni kweli...ila inaweza kuwa sio kweli pia

Ila kuna sehemu nimeona kama kwa hajapatia hivi,kuhusu mtu kupendelea jukwaa la MMU na hizo tabia alizoziongelea za wadada hapo juu

Ila mwisho wa siku kama yaliyosemwa ni ya kweli,wenye ID za waliokutana/wasiliana na GuDume watakua wameupata ujumbe wao
Oouh....nimekuelewa...itabidi tu-mprove wrong sasa.

Fanya basi hivyo.
 
Whatever i did and texted/wrote back in days i did for a purpose. Trust me. Napenda kuwa yule mtu anayefahamika humu kama gudume naenjoy kuwa hivyo coz humu nakuwa huru kama gudume. nje nashindwa kutokana na mambo kadhaa.

So nikwambie tu ktk akili timamu mimi siwezi tafuta mchumba humu. Ila gudume anaweza tafuta mchumba humu. Mimi nmeoa zamani.ila gudume ameoa siku za hivi karibuni. Sijui kama umenielewa.
Kwa hiyo sisi tunaotafuta humu wake hatuna akili? Kwa kigezo kipi ujinga mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka nimejiunga jf nilishaapa kamwe sitatongoza avatar hta cku1, wanawake wamejaa tele mtaani, wanawake wa umu na wanaume wa umu jf thread zao ni mgegedo2 mwanzo mwisho, Gudume umeongea ukweli %100

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama msemaji wa wanaume wapenda misambwanda{WAWAMI}..nasema wanawake endeleeni kukutana na sisi pm as long as uko na tako kuuuuubwaa....akili waachieni wakna elon musk,,isack newton....na kna davinc uko,,,si tunataka mtoto ukilala kifudi fudi mzigo unakua kama vyungu vya ulanzi....kwahyo ata msiogope,,,,,,,
Hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huu ni ukwel kwa kiwango kikubwa Sana

Nakumbuka Kuna bidada mmoja aliandika uzi wa kuwa hatoshelezwi na mme wake nikazama pm tukachati then tukabadilishana contact

Bidada huyu yupo mbeya ila nilikuja kujua ni malaya alie olewa maana alikuwa ananitumia picha za uchi Mara video akiwa anapiga punyote Lakin kaolewa

Siku moja akanitumia video akiwa anatiwa na kijamaa flan anadai ndio kina mtoa nyege nikaona huyo nae kicheche barabaran nikakausha kabsa mawasiliano nae


HIVYO hoja yako yawezekana ikawa na ukwel mkubwa Sana




Sent using Jamii Forums mobile app
Duhhh huyo mtu anapatikana humu humu !!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom