Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana unanijibu kifupi hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kumbe ulikuwa ume-jiandaa kwa battle ..

Nakujibu kifupi kwa sababu nakuheshimu ati " ... so sitaki kuzidi zaidi huwenda nikajikuta natoka nje ya mstari wa hekima niliyo nayo dhidi yako " halafu nikajikuta nakuvunjia heshima " so sitaki hiyo kitu iweze kujiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] endelea kutafuta hela za kumuhonga mama mkwe nitakupa hensham wangu bila shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nimeridhika sasa. Umeniandikia maneno matatu nikasema hapana sijazoea hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aweeeeeeee. Nakupenda pia mkwe wangu. Mie mwenzio kufake kulinishinda ndio maana siogopi kusema wala kufanya kitu humu na najua wapo rafiki zangu wanaonijua Ile Ile wapo sasa nikiigiza namdanganya nani jamani

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona orgasm siku ile ulifeki....

Ukanifanya nijione biiiingwa kumbe sina lolote๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ