Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Ahahaaa poa dogo .tumshukuru mungu tuanze mwaka salama.Wewe mwanamke niache kabisa,
Hivi unajua nyie ndo mlituletea dhambi hapa duniani
Shetani niepushe kabisa
Mimi sijawahi kukutongoza humu ujue kwanza
Niache kabisaaaaaaa
Endelea kutafuta wanaume ila mimi niache kabisaaaaaa
Mimi siyo type yako kabisaaa
Natembea na wanawake wasafiiiiiii
Type kama zari vileeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww nakukubali sana
Ebu mwambie miss natafuta aache kunifuatilia sina deni lake mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee HahaaMkuu umenifungua upeo aisee nilikuwa sijui kabisa kama humu ni madada ushubwada.. duh kuna baadhi nilikuwa nawakheshimu sana humu MMU ila kwa sasa Kwendrah!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkwe kwa Tanga weyee....sikuwezii!!!Niko Tanga mpenzi narudi siku ya mwaka mpya. Umeandaa limbuzi nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutaonana tu mdogo wangu .siku zote ukimnyima mwanaume k jua umetangaza vita.so kuwa makini myHapa nipo naupara niende kuonana naye alafu dada nataman kuonana na wewe huwa nakupenda sanaa vile unajali maisha yakoo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutaonana tu mdogo wangu .siku zote ukimnyima mwanaume k jua umetangaza vita.so kuwa makini my
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli dada yangu,but kwa slend id za kike zita drop down kwenye soko la hisa.kiufupi hata mjikaze jamaa kaharibu sana, hata kama hatujuani,wanaume wengi watawadharau kuanzia sasa,hii slend ni kirusi kibaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutaonana tu mdogo wangu .siku zote ukimnyima mwanaume k jua umetangaza vita.so kuwa makini my
Sent using Jamii Forums mobile app