James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Watu wanasemaOhooo!mambo yashakua mengi!!![emoji124][emoji124][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
ila bahati mbaya wewe ukipendwa ni hadi upende ndiyo upate rahaa![emoji24][emoji24][emoji24]
Mara ya Pili nakuona na Hilo la mwandiko wa anko wangu [emoji23][emoji23][emoji23]Bora uwaache mapema
Ila mwandiko wako unavutia nowadays
Ina maana mnawafahamu walitajwa na hii thread au hisia?Wamebaki kuchungulia tu sledi hahaha
Yani hili jimoyo langu hiliila bahati mbaya wewe ukipendwa ni hadi upende ndiyo upate rahaa![emoji24][emoji24][emoji24]
Hapana wewe sio nakupendaga sanaKama mimi. Yani kuna sehemu nasoma najiona mbona kama mimi halafu nasoma tena najiona. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiogope mama. Nenda na akili zako timamu ukikutana nao hutakutana na hizi. Shida ni kwamba ukute umeenda kuonana na mtu halafu ukamuelewa akaomba game ukampa ndo yaleee ya kuitwa malaya/kahabaUpepo umehamia uku doooh hatareee na ukweli lazma usemwe atakama unauma ila guys tutaogopa kumeet nanyie sababu ndo kama hizi [emoji20] [emoji20] [emoji20] [emoji20]
[emoji30][emoji30][emoji30]
Unaweza ukanioa tu mdogo wangu. Mbona Priyanka na mumewe wamepishana 10yrsHapana wewe sio nakupendaga sana
Dada angu unajiheshimu sana
Sema tu ni vile mi under 20
Ila ningevuta jiko hapa [emoji18]
Sent using Jamii Forums mobile app
Una akili saa nyingine ujueGuDume ungeweka na link ya uzi wa kutafuta mchumba tuone vigezo ulivyoviweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Watuvumilie kwa kweli maana mwendo ni huu huu. Wifi Tanasha anasema "Mtazoea Tu" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wababa wa jf watuvumilie tu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Unaweza ukanioa tu mdogo wangu. Mbona Priyanka na mumewe wamepishana 10yrs
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama sabrina kwenye list haupo?GuDume ungeweka na link ya uzi wa kutafuta mchumba tuone vigezo ulivyoviweka
Sent using Jamii Forums mobile app