Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Ni kweli kabisa. Mimi kwa kweli kwa kukutana na watu nimejifunza kama nisingekutana nao nisingekaa nikajua kuna binadamu wa aina hizo''Kila unayekutana naye ana jambo la kukufunza"
Niliona mtu kaandika haya maneno kwenye status ya WhatsApp
Sent using Jamii Forums mobile app