Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

NGOJA NISEME UKWELI NA MIMI

Mkuu ulichoandika ni kweli kwa asilimia 100. Kama kuna watu ambao walikuwa wanakuchukia humu ndani basi MIMI NILIKUWA NAMBA MOJA KWA KUMCHUKIA GUDUME. Nakumbuka nlishaandika sana nyuzi za kumlaani na kusema nitamtanya jambo flani.

Nlibadili ID yangu nikatafuta sababu ya kuonana naye ili nijue nifanye nini. Jamaa anionana nami lakin katika namna ambayo alikuwa na umakini flani nilikuja jifunza baadaye. Tulionge sana posta karibu na jengo la NIDA kuna mgawahawa wasomali mzuri.

Jamaa nligundua ni mtu smart, anajiamini na ana uelewa mkubwa sana.tulipiga stories ni tofauti na anavyoonekana humu ndani.TOFAUT SANA. alinisaidia kwa jambo ambalo nlikuwa nmejifanya kama ni tatizo ila alinipa namna ya kutatua ambayo nikasema ningekuwa na hilo tatizo kweli angekuwa amenisaidia sana.

Nje ya JF hapendi kuzungumzia JF. nlishangaa kwa nini. Nje anasema yeye si Gudume.so leo nmeelewa sana. Humu JF KUNA WATU WANA AKILI NA UELEWA MKUBWA. NASHUKURU SANA SINA CHUKI NAYE na yule dada kahaba ambaye alisababisha haya nimemsamehe ila ajifunze kitu pia. Maana hakufanikiwa hata kwa gudume.
Hata mimi siachagi kumwambia. Anayoayaandika huku JF na alivyo mtaaani ni watu wawili tofauti. Mtaani ni mtu flani smart anajielewa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume nao tupoje aslimia kubwa wakuu mama..wekeni nasi tujisome.
Niongee nini naameshasema yote kwenye kila neno mwanamke weka mwanaume.
Humu kama wapo watu serious niwanahesabika
Wengi hawajiamini wanahasira kujitambua ni shida pia wanakuhukumu mapema .
Akikukuta simu busy unaongea nanani au umeanza umalaya .
Dah maisha sio humu.
Kuna mtu kanipa ushauri kipindi natafuta mtu humu nasio yeye tu.
Na baadhi ya wanawake.
Ushauri walionipa 2019 ndio nitatekeleza.
Basiii kwa maana humu kuna mtu kasemaje mtu akitafuta mchumba humu ni hana akili hajakosea so kamkashifu mtoa mada .
 
Maandishi yako umeyafanya kama yale ya waraka wa Yohana kwa watu wake yan wewe ni Nabii na hadhira yote inapaswa kusikia unachokiamini.

Si kila unachokitaka na unachokiwaza lazima kitimie na hakuna kinachokosa kasoro

Jamii forum ni ya kila mtu awe malaya,mtu mwema,mlevi, Shoga,Mganga mcha mungu n.k tafadhali tusibaguane

Nchi yetu ni ya demokrasia kila mtu anayo haki ya kufanya anachotaka kinachompendeza ila asivunje tu sheria za Nchi Ili kwako limekuwa gumu sana kulikubali,

Siku zote unachokiwaza na kukitaka ndicho unachokipata,Baki na unachoamini hata baada ya uzi huu neno lako haliwezi kuwa sheria na maisha bado yataendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi juzi nliandika uzi humu kuhusu jambo hili. Bro umelisema kama ambavyo nliliwazia kabisa. Mimi ni mmoja ya watu ambao wanavutiwa sana na nyuzi zako na aina yako ya uandishi. Ndo ulinifanya nijiunge JF na pia somebody Hanga kwa sasa.

Nmekutana na makahaba humu. Wapo na pia hata MASHOGA WAPO tena wengi sana. Hawa walikuwa wananifuata na kunishauri niachane mademu pasua kichwa kama vipi waniungnishe ni mtu anayeweza nipa raha mpka basi. Wamo humu mashoga. Wengi tu.
Sawa sawa.
 
Mada zenye haya maudhui zipo nyingi tu humu, hususan jukwaa la Chit-Chat.

Ndo maana nikasema, ukiwa objective observer, huo ukweli utauona.

Ngoja nikuulize, kimaudhui, mada ya DaJane na hii ya huyu jamaa, zina tofauti gani ya kimsingi ukiacha kuwa DaJane alikuwa anawazungumzia ‘wanaume wa JF’ na huyu jamaa anawazungumzia ‘wanawake wa JF’?

Sorry kama nimekuzamisha kwenye mambo ya kifalsafa zaidi....
Ndio maana nikasema kwa kua ni watani wa jadi basi acha tusubiri mada zingine zaidi kama hizi, wakati huo watani wakigombana wapambe tunaenda kulima na wakipatana basi tunaenda kuvuna.

it's kinda funny though.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je wewe ni mfanya biashara, una shule, chuo, ama biashara yoyote na umekuwa na shida ya kujitangaza, unabiashara ndogo na haiendi kama unavyotegemea, basi tupo hapa kukusaidia kuwafikia wateja wako wengi kwa wakati mmoja. TANWEB group of proffessional wa I, tunakutengenezea website kwa gharama nafuu sana ya laki moja tu Tsh.100,000/=na utalipia domain name kwa elf 80 mwaka mzima. Na kama hauna elf 80 usihofu, utalipia laki moja 100,000/= utatengenezewa website yako na utapewa subdomain bureeeeee kabisa bila malipo yoyote. Offer hii ni kwa mwezi January na february pekee baada ya hapo tutaendelea na bei zetu kama kawaida. Tupo Musoma mjini na utatupata kwa namba 0782183441 au 0623523538 karibu sana tukuunganishe na wateja wako

Sent using Jamii Forums mobile app
I like this.
 
Back
Top Bottom