Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Leo nimekusoma sana mzee baba.

Kwa kweli humu kumpata mwanamke wa kweli sahau kabisa,

Hata sisi wanaume wa humu siyo wa kuoa wengi wanawachezea tu wanawake humu,

Mimi sikutaka kurudi nyumbani kuoa nikasema labda nitaoa humu huku ila nimebadilisha mawazo nitarudi kuoa kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Nina pembe au?

Sent using Jamii Forums mobile app

Njoo....

84E2758E-2AD2-4557-8DF5-D27D3AE4ECE3.jpeg


CC38BE7E-1C68-4545-BB0B-E3E2585DD032.jpeg
 
Back
Top Bottom