Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Mwanzo nlikuwa naamini wanawake walioko JF ni big brains, smart ones. Nikajiaminisha kwamba hapa ndo mahali pazuri pa kupatia mchumba.

Sikuwahi kuandika uzi wa kutafuta mchumba, but nimewafuata wale wanaotafuta kwenye PM zao sana. Nikaja kubahatika kumpata mdada mmoja ambaye niliona atanifaa kwani tulikuwa tunaendana kwa % kubwa plus tunatoka mkoa mmoja.

Tulianza mahusiano vizuri kabsa ambayo yalidumu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Lakini mateso aliyokuja kunipa sitokaa niyasahau kamwe maishani mwangu. Mateso aliyonipa yule mwanamke yalikuw makubwa mnoo kwani yaligusa kila nyanja ya maisha yangu mpaka kazi yangu. Kwa funzo alilonipa yule mwanamke sidhan km kuna mwanamke atanipa shida tenaa maishan mwangu.

All in all namtakia maisha mema na Mungu ambariki.
Big brains ni madaktar uko utawakuta Muhimbili, Makampuni ya Ujenzi uko , Ma IT .....hkl hajawah kua Big Brains kua Serious basi.
 
NMEAMIANI ALICHOSEMA MLETA UZI. Kuna makahaba toka jana yanazunguka zunguka humu kujikosha na kujisafisha. Yameacha kulea au sijui hayana kazi. Yanacheka cheka na kusupportiana kwa namna mbalimbali

Mwanaume FISI AKIJA KWA AKILI NDOGO TU KWENYE HUU UZI ATAONDOKA NA MIZOGA MINGI. imo inazunguka zunguka tu kutafuta mabwana. Halafu mnakuja kulalamika hakuna waoaji siku hizi. Utaolewaje huna hata heshima na sisi waoaji tunataka mwanamke anayejiheshimu?

Mimi kwenye huu uzi nimeunganisha dots. Wahusika kwa asilimia 95 bado wamo humu humu kwenye uzi wanazunguka zunguka huku nao wakizungukwa na inzi.

Yeye mtoa mada ameendelea na maisha yake.katuachia sisi mafisi [emoji23][emoji23][emoji23] (sometime) na mizoga yetu imo humu humu. Wanawake wenye akili wamejibu mara moja then wamekuwa busy na maisha yao.
Kweli kabisaa.
 
NJOONI KWANGU NINYI NYOTE MLIODHARAULIWA NA WANAUME NAMI NITAWAPUMZISHA

Single mothers njooni kwangu msikae kulalamika tu humu na kupeana support leteni vitoto vyenu niwasaidie kulea...[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee baba, umenichekesha sana
 
Daktar nyuzi za hivi huwa zinakimbia sana..hasa pale watendwa wanapoungana kuteteana..

Haukumbuki ule uzi wangu??? Mpaka nilipoamua kupandisha picha za mmoja wao..ndo wakatulia??.

Hivi wewe ndo Pugi eeh??

Hahahaa hilo jina linanichekeshaga sana aisee.

Halafu pia, Bwana Pepsi ndo nani eti? Ndo wewe huyo huyo au?

Ila we subiri tu...muda si mrefu sana utapanda uzi wa kuwasema ‘wanaume wa JF’ hapa.

Imeshakuwa kama kamchezo. Utoto utoto umekuwa mwingi sana.

Utadhani ni mashindano!!
 
Kwa mtizamo wangu, "hata mtunzi wa hii thread" naye ni "mwenye akili ndogo" kama anayowatusi waliowasiliana nao....

Ku-disclose mambo ya PM maana yake hata wewe ni "MSALITI" wa maisha ya watu wengine na unastahili "kuondolewa" katika JAMII

Nawatakia Mwaka Mpya wenye Heri na Fanaka....
.....
 
Hata mimi nimewatafuna sana masingle mothers wa humu ninaapa nitawala mpaka papuchi zenu zibaki zimeachama kama nini vile

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja majuz kati ananitafuta kwa mbwembwe sanaaaa kunitisha ...ohooooo 'S' tulivoachana nmepata mwingine ..

Nani??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ananitajia mtu ambaye ana upungufu wa kinga mwilini

Nilimchekaaa balaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

JF POOL OF HIV ....MNAUANA WENYEWE KWA WENYEWE MAMAEEE.
 
Kuna mmoja majuz kati ananitafuta kwa mbwembwe sanaaaa kunitisha ...ohooooo 'S' tulivoachana nmepata mwingine ..

Nani??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ananitajia mtu ambaye ana upungufu wa kinga mwilini

Nilimchekaaa balaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

JF POOL OF HIV ....MNAUANA WENYEWE KWA WENYEWE MAMAEEE.
Kuna mtu kaiba I'd yako au vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom