Nishampenda nipeni njia ya kudumu nae

UKWELI MCHUNGU

mwanaume ni ngum sana kumthamini mwanamke aliemla kimasihara bila kumtongoza

Kwaiyo ushauri ni nini hapo [mention]Mr sound [/mention] maana hata hao wanaotutongoza wenyewe hawatuchukulii serious
 

[emoji23][emoji23][emoji23] ushauri wa rejareja ni mzuri ila 35+ bado sana bado miaka 10 ngoja niitumie vzr kabla kufika huko
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ushauri wa rejareja ni mzuri ila 35+ bado sana bado miaka 10 ngoja niitumie vzr kabla kufika huko
Uzingatie, nakumbuka nilishamuumiza binti wa namna yako kumbe kweli alinipenda ila the way tumejigijigi zaidi ya mara moja kwa nanma za kizembe sikumpa kipaumbele. Makinika binti.
 
Uzingatie, nakumbuka nilishamuumiza binti wa namna yako kumbe kweli alinipenda ila the way tumejigijigi zaidi ya mara moja kwa nanma za kizembe sikumpa kipaumbele. Makinika binti.

Una kitu nime ku pm naona wengine wanacomment shit tu wakati nipo serious
 
Huyu kwanza ni yupi?

Ndio Boss Msukuma aliekuja hapo Ofisini kwenu?

Au yule uliekuwa unataka kuwa Main Chick?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…