- Thread starter
- #21
Yeah nimeshajua unanipenda ila mi nakutumia kama kipoozea kuhusu kukuoa sidhani
Kuoana kwani dili basi ndugu hiyo kupata wa kukulana nae kila siku ndio muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah nimeshajua unanipenda ila mi nakutumia kama kipoozea kuhusu kukuoa sidhani
Nimekupm namba ya mganga konki wa mapenzi, si unataka na ndoa kabisa???!!! Mpigie
UKWELI MCHUNGU
mwanaume ni ngum sana kumthamini mwanamke aliemla kimasihara bila kumtongoza
Kwahiyo unataka kumchezea kaka wa watu 😹😹😹Sitaki ndoa bhn ila nitampigia [emoji23]
Ila mademu saiv mko chap hadi raha yan kutoa mbususu nichap kwaharaka
Kwahiyo unataka kumchezea kaka wa watu [emoji81][emoji81][emoji81]
Njoo na leo basKuoana kwani dili basi ndugu hiyo kupata wa kukulana nae kila siku ndio muhimu
Dadeki yani umepigwa pumbu bila kutongozwa halafu utegemee mwamba awe na mahusiano serious na wewe?
Na kaichapa mara mbili?
Punguza expectations juu yake, wanaume wengi ukishaonesha unamhitaji sana atakupuuza na vile kakukula bila maarifa mengi, kuna namna anakuchukulia.
Ushauri wa rejareja, usimpe attention sana, muache akuhangaikie, japo ni ngumu kama umeshampenda ila ndo ivo muache aje mwenyewe, usimforce utampoteza au atakutumia kwa haja zake maana anajua huchomoki.
Kila la kheri dada, kama akizingua na uko na 35+ basi kuna kijana humu wa kuitwa Poor Brain atakufaa sana.
Njoo na leo bas
Kamroge
Ngoja ni rechargeLeo sio siku nzuri next week
Uzingatie, nakumbuka nilishamuumiza binti wa namna yako kumbe kweli alinipenda ila the way tumejigijigi zaidi ya mara moja kwa nanma za kizembe sikumpa kipaumbele. Makinika binti.[emoji23][emoji23][emoji23] ushauri wa rejareja ni mzuri ila 35+ bado sana bado miaka 10 ngoja niitumie vzr kabla kufika huko
Mtaachana tu
Mpe pesa
Uzingatie, nakumbuka nilishamuumiza binti wa namna yako kumbe kweli alinipenda ila the way tumejigijigi zaidi ya mara moja kwa nanma za kizembe sikumpa kipaumbele. Makinika binti.
Ngoja ni recharge