Nishampenda nipeni njia ya kudumu nae

Nishampenda nipeni njia ya kudumu nae

Unaposema kwenye uzi unataka udumu naye, adumu na wewe kwenye kukutomba tu au unamaanisha nini?

Kukaa nae kwenye mahusiano hayo ya ndoa si ni Mungu anapanga.. sijawah kuwa na uhusiano la mwaka jmn
 
Habari

Niwe muwazi mimi nishamuelewa huyu Kijana.. mwanzo nilihisi upwiru tu nikamtamani ila Sasa najihisi kumpenda..

Tumeshakulana zaidi ya mara moja na namuhitaji zaidi..
Sasa niwaambie ukweli huyu bro hajanitamkia kama anahitaji mahusiano na mimi kama vile tulivyozoea namna ya utongozaji wa mwanaume kwa mwanamke
Ni ile tu ananichombeza chombeza maneno mazuri mazuri na amefanikiwa kuniteka hisia zangu mpk tukaishia kukulana (Sijutii maana na mimi nilikuwa na hamu zangu)

Kilichonileta hapa nataka ushaurii haswa kwa wanaume ni kwa namna gani huyu mwanaume nitampata yaani ikiwezekana awe wangu najua atakuwa ana mahusiano yake labda seriously but mimi hilo halina shida kikubwa ni kuwa hajaoa na kama mtu hajaoa ni kama yuko single

Jamani mwanaume ambae yuko single Hakuna kila mtu yuko na mtu haijalishi ni mahusiano seriously au yakuzuga sasa mimi nimuache huyu kwasababu zipi wakati hajanitamkia kuwa ana mtu na hajaoa( hii ni 100%) kwasababu nimeshafanya ujasusi wangu hana mke Kijana

Sasa mimi nataka kulipambania hili husiano ikiwezekana liwe husiano kwelikweli uzuri ni kuwa ninampenda so sidhani kama nita mtreat vibaya….
Sijamtamkia kuwa nampenda lakini matendo nazani kashaelewa..

Nishaurini namna ya kufanya ili niendelee kumuweka upande wangu au niendelee na maisha yangu


Nb: Sijawahi kumlilia shida hata siku moja yaani sijawah kuzungumza maswala ya kuombaomba hela hata tukionana huwa natumia nauli yangu kumfuata.
Yeye ndio hunipa muda wa kuondoka anasema nitaongezea nauli… suala la hela sio tatizo kwangu kwa kuwa nishampenda
Umekosa kazi wewe
Ushauri wa mahusiano Yako unaomba watu wa nje kwamba hujiamini ama akili Yako haijjitosheleza
 
Kukaa nae kwenye mahusiano hayo ya ndoa si ni Mungu anapanga.. sijawah kuwa na uhusiano la mwaka jmn
Ndio maana nikasema mwanaume ndiye anayeamua nani wa kufanya naye maisha, usijidanganye eti kuna njia ya kuuwin moyo wake tena ukijirahisisha hivyo utatombeka sana.

Achana na sisi wanaume kwa unafiki unaweza kusema umempata kumbe anakutumia tu

Mungu atapangaje na wakati tayari mmeamua kufanya dhambi ya uasharati kabla ya ndoa na yeye hafagilii hizo mambo
 
Hata sigawi Mkuu nimejitunza vizuri tu sema kuna huyo mmoja alisema nitamnyonya damu napenda kukulana labda upwiru
Tafuta ufumbuzi wa hilo mkuu, ni tatizo kwako hasa kama huna ndoa.

Una safari ndefu, jiwekee uadimu kidogo kwenye hilo. Me anachotaka kwa Ke ni mbunye, na wewe mbunye ndo hiyo unaipeleka mpaka mwamba anasema upunguze speed 😀😀, sio nzuri kitaalamu hiyo.
 
Ila bhana mapenzi hayana formula unaweza mpenda yeyote popote
 
Back
Top Bottom