Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
1. Usikae nae ghetto moja.
2. Kama kwenda kwake iwe weekend tu
3. Usimkataze kubet, kuangalia mpira wala kunywa pombe
4. Usimwambie simpendi rafiki yako x au y wala z ata kama marafiki zake wanaonekana walevi muache kama ulivomkuta
5. Msapoti husstle zake mfano kimawazo
6. Akikupa siku hela, mfano elfu 50, atleast 20k mnunulie ata t-shirt au jeans au boxer ata mkanda
7. Usimlazimishe kwenda kanisani, au kwenye mikesha, just mshawishi akikubali nenda nae.
8. Usimfananishe na michepuko yako ya zamani.
9. Usimtambulishe kwa marafiki zako
2. Kama kwenda kwake iwe weekend tu
3. Usimkataze kubet, kuangalia mpira wala kunywa pombe
4. Usimwambie simpendi rafiki yako x au y wala z ata kama marafiki zake wanaonekana walevi muache kama ulivomkuta
5. Msapoti husstle zake mfano kimawazo
6. Akikupa siku hela, mfano elfu 50, atleast 20k mnunulie ata t-shirt au jeans au boxer ata mkanda
7. Usimlazimishe kwenda kanisani, au kwenye mikesha, just mshawishi akikubali nenda nae.
8. Usimfananishe na michepuko yako ya zamani.
9. Usimtambulishe kwa marafiki zako