Nishampenda nipeni njia ya kudumu nae

Nishampenda nipeni njia ya kudumu nae

Dadeki yani umepigwa pumbu bila kutongozwa halafu utegemee mwamba awe na mahusiano serious na wewe?
Na kaichapa mara mbili?

Punguza expectations juu yake, wanaume wengi ukishaonesha unamhitaji sana atakupuuza na vile kakukula bila maarifa mengi, kuna namna anakuchukulia.

Ushauri wa rejareja, usimpe attention sana, muache akuhangaikie, japo ni ngumu kama umeshampenda ila ndo ivo muache aje mwenyewe, usimforce utampoteza au atakutumia kwa haja zake maana anajua huchomoki.

Kila la kheri dada, kama akizingua na uko na 35+ basi kuna kijana humu wa kuitwa Poor Brain atakufaa sana.
Mkuu kwahyo mimi ndio nakusanya watu wa namna hiyo wote humu sio
😄😄😄
 
FB_IMG_1733926518919.jpg

Wachache watanielewa,mleta mada ni mwanaume yaani wapo wazazi wawili mahali wanajisifia uzao wao ambao ni yeye.
 
Mdogo wangu nakupasia pasi ya upendo unaikataa??
Mimi kila nikiona maza yeyote mtaani nawaza hata nichukue namba yake nikuletee rafiki yangu.
Alafu kumbe wee vishu jau sana et 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Sio mda taoa mimi hvo nitakua mbali na hap watu mkuu
 
Hadi hapa ushafeli mbinu za kudumu nae[emoji1787]

[emoji16][emoji16]mbona hivyo jmn si unipe hizo mbinu za kudumu nae

Mbona kama jf Mimi ndio naongoza kwa kuachwa
 
You seems decent and honest.

Ila ndio hivyo hujabahatika kupata atakaekupenda na kukujali.

Anyway Kila la Kheri.
 
Habari

Niwe muwazi mimi nishamuelewa huyu Kijana.. mwanzo nilihisi upwiru tu nikamtamani ila Sasa najihisi kumpenda..

Tumeshakulana zaidi ya mara moja na namuhitaji zaidi..
Sasa niwaambie ukweli huyu bro hajanitamkia kama anahitaji mahusiano na mimi kama vile tulivyozoea namna ya utongozaji wa mwanaume kwa mwanamke
Ni ile tu ananichombeza chombeza maneno mazuri mazuri na amefanikiwa kuniteka hisia zangu mpk tukaishia kukulana (Sijutii maana na mimi nilikuwa na hamu zangu)

Kilichonileta hapa nataka ushaurii haswa kwa wanaume ni kwa namna gani huyu mwanaume nitampata yaani ikiwezekana awe wangu najua atakuwa ana mahusiano yake labda seriously but mimi hilo halina shida kikubwa ni kuwa hajaoa na kama mtu hajaoa ni kama yuko single

Jamani mwanaume ambae yuko single Hakuna kila mtu yuko na mtu haijalishi ni mahusiano seriously au yakuzuga sasa mimi nimuache huyu kwasababu zipi wakati hajanitamkia kuwa ana mtu na hajaoa( hii ni 100%) kwasababu nimeshafanya ujasusi wangu hana mke Kijana

Sasa mimi nataka kulipambania hili husiano ikiwezekana liwe husiano kwelikweli uzuri ni kuwa ninampenda so sidhani kama nita mtreat vibaya….
Sijamtamkia kuwa nampenda lakini matendo nazani kashaelewa..

Nishaurini namna ya kufanya ili niendelee kumuweka upande wangu au niendelee na maisha yangu


Nb: Sijawahi kumlilia shida hata siku moja yaani sijawah kuzungumza maswala ya kuombaomba hela hata tukionana huwa natumia nauli yangu kumfuata.
Yeye ndio hunipa muda wa kuondoka anasema nitaongezea nauli… suala la hela sio tatizo kwangu kwa kuwa nishampenda
Ni pm nikwqmbie jambo
 
Hakuna mwanamke anayeweza kumshawishi mwanaume amuoe

Wewe endelea kuwa gatekeeper wa sex ila yeye atabaki kuwa gate keeper wa marriage

Akikukula akakuchoka atajua nani wa kufanya naye maisha

Mwanaume anaweza kuwa na wanawake 5 na wote akawatreat kama atawaoa lakini yeye ndiye anayejua yupi atamfanya wife
 
Hakuna mwanamke anayeweza kumshawishi mwanaume amuoe

Wewe endelea kuwa gatekeeper wa sex ila yeye atabaki kuwa gate keeper wa marriage

Akikukula akakuchoka atajua nani wa kufanya naye maisha

Sijazungumza masuala ya ndoa mkuu mda bado angalau ni win huo moyo basi kuoana ni hatua nyingine
 
Back
Top Bottom