- Thread starter
- #141
k
Kumbe una maswali mazuri ambayo una niuliza mimi ambaye cjui kama una bwawa la mindu ama j" k' puya
Kama una hizo sifa mbili huwezi kuolewa
Usijibu tena maana Huna Hekima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
k
Kumbe una maswali mazuri ambayo una niuliza mimi ambaye cjui kama una bwawa la mindu ama j" k' puya
Kama una hizo sifa mbili huwezi kuolewa
Kwa hiyo hawa wagogo wanaopiga mizinga wanaume ni kwa sababu hawawataki / kutowapenda hao wanaume?Mkuu mimi huwa naomba hela Kama simtaki yaani simpendi Sina future nae mwanzoni tu lazima niombe hela
Ila ikitokea nimekuelewa navuta subra kwanza utatoa mwenyewe tu hata situmii nguvu
Nimekuibia Siri hiyo
Nagonga kwenye msumari ili uelewe na kupata msaada, wenye hekima hawawezi kukuelimisha, maswali ya kipuuzi, wewe unafanya zinaa halafu unataka ushauri hata hivyo nimetumia maneno kificho coz najua.hapa.kuna watoto pamoja na wewe, unapelekewa moto na unapata burudani, tena unafikishwa kileleni halafu unataka ushauri?, yaani unajiachia, una bahati umepata mkunaji lakini umeamua kutusumbua na upwiru wako endelevu hapa, kwanza umekosa maadili, pambafu sanaUsijibu tena maana Huna Hekima
Kwa hiyo hawa wagogo wanaopiga mizinga wanaume ni kwa sababu hawawataki / kutowapenda hao wanaume?
Nagonga kwenye msumari ili uelewe na kupata msaada wenye hekima.hawawezi kukuelimisha maswali ya.kipuuzi wewe unafanya zinaa halafu unataka ushauri hata hivyo nimetumia maneno kificho coz najua.hapa.kuna watoto pamoja na wewe, wewe unapelekewa moto na unapata burudani, tena unafikishwa kileleni halafu unataka ushauri?, yaani unajiachia una bahati umepata mkunaji lakini umeamua kutusumbua na upwiru wako ebdelevu hapa, kwanza umekosa maadili, pambafu sana
Asiye funzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu, walimwengu ukiwaachia k wataitumia vizuri tena sana, (watachimba mgodi), hadi uone kama siyo ya kwakoSi naomba ushaurii sasa
UKWELI MCHUNGU
mwanaume ni ngum sana kumthamini mwanamke aliemla kimasihara bila kumtongoza
Mbagala hiyo [emoji23]
Hamno penzo hapo , ni utapelo.
Huwa natoa ushauri kwa Wanaume wenzangu tu kwenye mambo kuhusu Mapenzi ila kwa Mwanamke aloo hapana mwanamke akishapenda huna la kumwambia asikii sijui Mungu sijui Wazazi sijui magonjwa atamsikia yule yule aliyempenda ye ndo atakuwA hivyo vyote nilivyovitaja.Huyu mtoa mada ingekuwa labda tunafahamiana na huyo bwana wake ni jamaa yangu au rafiki angu ningemshauri agonge mara moja tu inatosha maana mukizoeana kuna kulogana na mazoea ya kuwa na mtu kwa muda mrefu wanawake wa staili hii wa kugongwa bila kutongozwa wengi ni mademu wa kushoboka na kujilahisisha na Asilimia kubwa wana marafiki wengi wa kiume yaani ni pasua kichwa na enyi wanaume wenzangu ogopa wanawake wa hivi hawa ni wa hit and run.Nb:Mwenye Masikio na Asikie.
Hiyo sentensi ya mwisho ndipo napoamini mwanamke akikhpenda kweli hawakosi hela. Hapo hata kumuomba jamaa anaogopa anamuonea huruma
Eeeh ndio ndio,ila jana kule x niliona mdada katoa ushuhuda kasema yeye meanaume akimpenda kweli ila kwelikweli hata kumuomba hela hawezi kabisa roho inamsuta. Ndio nimechukua reference hapoSimuonei huruma si mlisema humu ili upate mtu wa kueleweka tuache kuomba ombaa hela au
Tema mate chini ptuuu na usirudie kusema hivi hasa ukiwa wewe ndio umependa.NIPO makini sana hapo.. siwezi kuzaa na mtu hatujaoana yaani haiwezekani kabisaa [emoji120]
Kuomba hela kwa usiempenda sio sawa, kutoomba hela kwa umpendae hakufanyi akupende zaidi.Mkuu mimi huwa naomba hela Kama simtaki yaani simpendi Sina future nae mwanzoni tu lazima niombe hela
Ila ikitokea nimekuelewa navuta subra kwanza utatoa mwenyewe tu hata situmii nguvu
Nimekuibia Siri hiyo
Kuomba hela kwa usiempenda sio sawa, kutoomba hela kwa umpendae hakufanyi akupende zaidi.
kadogo2 una mifumo mibovu ya mahusiano.
Tema mate chini ptuuu na usirudie kusema hivi hasa ukiwa wewe ndio umependa.
Habari
Niwe muwazi mimi nishamuelewa huyu Kijana.. mwanzo nilihisi upwiru tu nikamtamani ila Sasa najihisi kumpenda..
Tumeshakulana zaidi ya mara moja na namuhitaji zaidi..
Sasa niwaambie ukweli huyu bro hajanitamkia kama anahitaji mahusiano na mimi kama vile tulivyozoea namna ya utongozaji wa mwanaume kwa mwanamke
Ni ile tu ananichombeza chombeza maneno mazuri mazuri na amefanikiwa kuniteka hisia zangu mpk tukaishia kukulana (Sijutii maana na mimi nilikuwa na hamu zangu)
Kilichonileta hapa nataka ushaurii haswa kwa wanaume ni kwa namna gani huyu mwanaume nitampata yaani ikiwezekana awe wangu najua atakuwa ana mahusiano yake labda seriously but mimi hilo halina shida kikubwa ni kuwa hajaoa na kama mtu hajaoa ni kama yuko single
Jamani mwanaume ambae yuko single Hakuna kila mtu yuko na mtu haijalishi ni mahusiano seriously au yakuzuga sasa mimi nimuache huyu kwasababu zipi wakati hajanitamkia kuwa ana mtu na hajaoa( hii ni 100%) kwasababu nimeshafanya ujasusi wangu hana mke Kijana
Sasa mimi nataka kulipambania hili husiano ikiwezekana liwe husiano kwelikweli uzuri ni kuwa ninampenda so sidhani kama nita mtreat vibaya….
Sijamtamkia kuwa nampenda lakini matendo nazani kashaelewa..
Nishaurini namna ya kufanya ili niendelee kumuweka upande wangu au niendelee na maisha yangu
Nb: Sijawahi kumlilia shida hata siku moja yaani sijawah kuzungumza maswala ya kuombaomba hela hata tukionana huwa natumia nauli yangu kumfuata.
Yeye ndio hunipa muda wa kuondoka anasema nitaongezea nauli… suala la hela sio tatizo kwangu kwa kuwa nishampenda