Nishauri chochote niache kuyaogopa maisha

Utakuwa sawa tu Ni mapito,baada ya Hapo utabaki unashangaa ulipitaje Hapo, Cha muhimu jifunze Kuomba. kuwa karibu na Mungu wako anatenda makubwa kuliko ujuavyo,utabaki kuwa ushuhuda.
 
amen, nilikukumbuka jana sana na namshukuru Mungu unaendelea vyema. Mungu aendelee kukuponya kabisa ili amani yako irudi kama mwanzo.
Asante, barikiwa sana aisee
 

Mhubiri 9:11​

Tena, nimeona kitu kimoja hapa duniani, kwamba wenye mbio hawafaulu katika riadha, wala wenye nguvu hawashindi vita; wenye busara hawapati chakula, wenye akili hawatajiriki, wala wenye ujuzi hawapandi vyeo; lakini wakati wa bahati huwapata wote pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…