Nishauri chochote niache kuyaogopa maisha

Nishauri chochote niache kuyaogopa maisha

Wasalaaaam
Sijui niiwekaje hii,. Lakini naogopa tu nikiwaza haya maisha yanatakiwa yaende aje,, na kwanini inakua hivi🤔🤔

Au ni kwasababu nimeumwa sana nimeanza kupoteza matumaini?? Ata sijui nawaza nini🙌🙌,.
Yaani iko hivi, ni mwezi wa pili sasa unaelekea watatu siwezi kufanya chochote,,. kazi zangu na shughuli zangu ambazo nilikua nafanya mwenyewe ni watu ndio wananisaidia kufanya ( Hakuna hata kimoja kilichopo kwenye mstari,. Kila kitu kimevurugika, Hawafanyi kama ambavyo mwenyewe hua nafanya🥹🥹)..

Watu hata nyumbani naona wanalichukulia hili suala kawaida lakini mimi linaniogopesha sana,. Imagine nilikua nasikia vizuri tu lakini saizi sisikii,. Eti macho nayo yameanza kusumbua yaani navaa miwani hatakama sisomi kitu🤔🤔,. Kwamfano ndio ikawa hivi hivi mwisho wa siku si na miguu nayo itaanza kutokutembea na mikono kutokufanya kazi ( Na vipi kama ikiwa kweli???) Ina maana ndoto zangu zote ndio zitakua zimeishia hapa au??

Niambie au nishauri chochote ili niondokane na hii sijui ndio fear of unknown au nini??
Jitahidi usikate tamaa.
 
Dah I used to believe wewe ni mkubwa binti kumbe ni mtoto sana .

Pole kwa yote ,Mungu akutie nguvu ijapokuwa natamani nijue specific unaumwa nini na una muda gani ?

Hapa ni jamii kubwa yaweza kuwa ngumu kunieleza walau nijue naanzia wapi kukusaidia .

Ukiwiwa karibu DM ,ukiona haitafaa basi nitakuwa Chabruma kwa wiki mbili zijazo kuanzia ijumaa ijayo ,tafadhali karibu au nitaomba kuonana na wewe najihisi kuweza kukusaidia .

Ikiwa yote yameshindikana basi nikuombe kumuomba Mungu kwa Imani na dhati pasina mashka na hakika utakuwa sawa .

Pole sana mwanangu ,Mungu akusaidie binti mdogo
 
Ni Tinnitus kipenzi
Mbona inaonekana sio kitu cha kutisha hivyo? Au ww unajisikiaje..nadhani njia ni kuachana na mawazo negative uliyonayo..ww potezea kama husikii hizo sauti...
Screenshot_20240711-212552_Chrome.jpg
 
Wasalaaaam
Sijui niiwekaje hii,. Lakini naogopa tu nikiwaza haya maisha yanatakiwa yaende aje,, na kwanini inakua hivi🤔🤔

Au ni kwasababu nimeumwa sana nimeanza kupoteza matumaini?? Ata sijui nawaza nini🙌🙌,.
Yaani iko hivi, ni mwezi wa pili sasa unaelekea watatu siwezi kufanya chochote,,. kazi zangu na shughuli zangu ambazo nilikua nafanya mwenyewe ni watu ndio wananisaidia kufanya ( Hakuna hata kimoja kilichopo kwenye mstari,. Kila kitu kimevurugika, Hawafanyi kama ambavyo mwenyewe hua nafanya🥹🥹)..

Watu hata nyumbani naona wanalichukulia hili suala kawaida lakini mimi linaniogopesha sana,. Imagine nilikua nasikia vizuri tu lakini saizi sisikii,. Eti macho nayo yameanza kusumbua yaani navaa miwani hatakama sisomi kitu🤔🤔,. Kwamfano ndio ikawa hivi hivi mwisho wa siku si na miguu nayo itaanza kutokutembea na mikono kutokufanya kazi ( Na vipi kama ikiwa kweli???) Ina maana ndoto zangu zote ndio zitakua zimeishia hapa au??

Niambie au nishauri chochote ili niondokane na hii sijui ndio fear of unknown au nini??
Mmmh.
Hujapona tu bado ?

Nina-uzoefu na shida za masikio, kama shida bado ni hiyo naweza kukushauri vya kufanya.
 
Wasalaaaam
Sijui niiwekaje hii,. Lakini naogopa tu nikiwaza haya maisha yanatakiwa yaende aje,, na kwanini inakua hivi🤔🤔

Au ni kwasababu nimeumwa sana nimeanza kupoteza matumaini?? Ata sijui nawaza nini🙌🙌,.
Yaani iko hivi, ni mwezi wa pili sasa unaelekea watatu siwezi kufanya chochote,,. kazi zangu na shughuli zangu ambazo nilikua nafanya mwenyewe ni watu ndio wananisaidia kufanya ( Hakuna hata kimoja kilichopo kwenye mstari,. Kila kitu kimevurugika, Hawafanyi kama ambavyo mwenyewe hua nafanya🥹🥹)..

Watu hata nyumbani naona wanalichukulia hili suala kawaida lakini mimi linaniogopesha sana,. Imagine nilikua nasikia vizuri tu lakini saizi sisikii,. Eti macho nayo yameanza kusumbua yaani navaa miwani hatakama sisomi kitu🤔🤔,. Kwamfano ndio ikawa hivi hivi mwisho wa siku si na miguu nayo itaanza kutokutembea na mikono kutokufanya kazi ( Na vipi kama ikiwa kweli???) Ina maana ndoto zangu zote ndio zitakua zimeishia hapa au??

Niambie au nishauri chochote ili niondokane na hii sijui ndio fear of unknown au nini??
Unow unaelewa kwanini nlikwambia kwenye Ile thread unakoenda sio kwema omba sana Mungu akuponye na akuepushie?

Naomba unitumie ujumbe pm.kama uko interested.i have a lot to share with you
 
1) Achana na tamaa.
Ridhika na kipato chako, cha muhimu sana hakikisha una afya njema, unavaa, unakula, una uwezo wa kununua vocha, soda, maji .nk.

2) kwenye mambo yako yote angalia ni jambo gani ukifanya unajisikia vizuri tambaa huko huko bila kiangalia macho ya jamii kikubwa liwe jambo harali lisilokuumiza wewe au kuumiza watu,

3,) epuka kua karibu na makundi ya vijana wa lika lako, tafuta wale unaoona wamekuzidi vyote ulivyo navyo.

4) wanawake iwe ni jambo utakalofikiria mwishoni huko namaanisha mbele kwa mbele kulee ukishasimama katika kila kitu.

5) ondoa wasiwasi, ondoa mashaka, ondoa aibu, ondoa hofu ya jambo lolote lile, usiogope kitu usijenge mazingira ya kulalamika au kulalamikiwa na wewe mwenyewe au yoyote yule.



Hizo hatua tano tu kwa leo zinakutosha.
 
Wasalaaaam
Sijui niiwekaje hii,. Lakini naogopa tu nikiwaza haya maisha yanatakiwa yaende aje,, na kwanini inakua hivi🤔🤔

Au ni kwasababu nimeumwa sana nimeanza kupoteza matumaini?? Ata sijui nawaza nini🙌🙌,.
Yaani iko hivi, ni mwezi wa pili sasa unaelekea watatu siwezi kufanya chochote,,. kazi zangu na shughuli zangu ambazo nilikua nafanya mwenyewe ni watu ndio wananisaidia kufanya ( Hakuna hata kimoja kilichopo kwenye mstari,. Kila kitu kimevurugika, Hawafanyi kama ambavyo mwenyewe hua nafanya🥹🥹)..

Watu hata nyumbani naona wanalichukulia hili suala kawaida lakini mimi linaniogopesha sana,. Imagine nilikua nasikia vizuri tu lakini saizi sisikii,. Eti macho nayo yameanza kusumbua yaani navaa miwani hatakama sisomi kitu🤔🤔,. Kwamfano ndio ikawa hivi hivi mwisho wa siku si na miguu nayo itaanza kutokutembea na mikono kutokufanya kazi ( Na vipi kama ikiwa kweli???) Ina maana ndoto zangu zote ndio zitakua zimeishia hapa au??

Niambie au nishauri chochote ili niondokane na hii sijui ndio fear of unknown au nini??
unaendeleaje Leejay49
 
Wasalaaaam
Sijui niiwekaje hii,. Lakini naogopa tu nikiwaza haya maisha yanatakiwa yaende aje,, na kwanini inakua hivi🤔🤔

Au ni kwasababu nimeumwa sana nimeanza kupoteza matumaini?? Ata sijui nawaza nini🙌🙌,.
Yaani iko hivi, ni mwezi wa pili sasa unaelekea watatu siwezi kufanya chochote,,. kazi zangu na shughuli zangu ambazo nilikua nafanya mwenyewe ni watu ndio wananisaidia kufanya ( Hakuna hata kimoja kilichopo kwenye mstari,. Kila kitu kimevurugika, Hawafanyi kama ambavyo mwenyewe hua nafanya🥹🥹)..

Watu hata nyumbani naona wanalichukulia hili suala kawaida lakini mimi linaniogopesha sana,. Imagine nilikua nasikia vizuri tu lakini saizi sisikii,. Eti macho nayo yameanza kusumbua yaani navaa miwani hatakama sisomi kitu🤔🤔,. Kwamfano ndio ikawa hivi hivi mwisho wa siku si na miguu nayo itaanza kutokutembea na mikono kutokufanya kazi ( Na vipi kama ikiwa kweli???) Ina maana ndoto zangu zote ndio zitakua zimeishia hapa au??

Niambie au nishauri chochote ili niondokane na hii sijui ndio fear of unknown au nini??
sijui hata chakusema ila mungu tunaomba utukumbuke sisi watoto wako,tumebeba mizigo mizito sana moyoni
 
1) Achana na tamaa.
Ridhika na kipato chako, cha muhimu sana hakikisha una afya njema, unavaa, unakula, una uwezo wa kununua vocha, soda, maji .nk.

2) kwenye mambo yako yote angalia ni jambo gani ukifanya unajisikia vizuri tambaa huko huko bila kiangalia macho ya jamii kikubwa liwe jambo harali lisilokuumiza wewe au kuumiza watu,

3,) epuka kua karibu na makundi ya vijana wa lika lako, tafuta wale unaoona wamekuzidi vyote ulivyo navyo.

4) wanawake iwe ni jambo utakalofikiria mwishoni huko namaanisha mbele kwa mbele kulee ukishasimama katika kila kitu.

5) ondoa wasiwasi, ondoa mashaka, ondoa aibu, ondoa hofu ya jambo lolote lile, usiogope kitu usijenge mazingira ya kulalamika au kulalamikiwa na wewe mwenyewe au yoyote yule.



Hizo hatua tano tu kwa leo zinakutosha.
Asante mkuu kwa ujumbe mzuri,. Sikua nimeona🙏🙏
 
Unow unaelewa kwanini nlikwambia kwenye Ile thread unakoenda sio kwema omba sana Mungu akuponye na akuepushie?

Naomba unitumie ujumbe pm.kama uko interested.i have a lot to share with you
Asante sister Abigaili,. Nimekupm now, sikua nimeona hii post yako🙏
 
Back
Top Bottom