Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuAsante kwa ushauri mzuri rafiki
Amen🙏🙏,. Asante big ciccy Bantu LadyPole kipenzi, majaribu kwa binadamu ni ya kawaida. Ila usikate tamaa wala kujiwazia, mambo mabaya ya mbeleni. Kwa Imani yako omba Mungu, kila kitu kitaenda kuwa sawa. Mungu ni mwema wakati wote.
Hata mimi ni miongoni mwao isali kwa imani utaona makuu.!!Asante jirani,. Nimeanza novena ya mt. Ritha nadhani itasaidia maana wengi wameshuhudia
Umekopi ama ni wewe? Pole sanaWasalaaaam
Sijui niiwekaje hii,. Lakini naogopa tu nikiwaza haya maisha yanatakiwa yaende aje,, na kwanini inakua hivi🤔🤔
Au ni kwasababu nimeumwa sana nimeanza kupoteza matumaini?? Ata sijui nawaza nini🙌🙌,.
Yaani iko hivi, ni mwezi wa pili sasa unaelekea watatu siwezi kufanya chochote,,. kazi zangu na shughuli zangu ambazo nilikua nafanya mwenyewe ni watu ndio wananisaidia kufanya ( Hakuna hata kimoja kilichopo kwenye mstari,. Kila kitu kimevurugika, Hawafanyi kama ambavyo mwenyewe hua nafanya🥹🥹)..
Watu hata nyumbani naona wanalichukulia hili suala kawaida lakini mimi linaniogopesha sana,. Imagine nilikua nasikia vizuri tu lakini saizi sisikii,. Eti macho nayo yameanza kusumbua yaani navaa miwani hatakama sisomi kitu🤔🤔,. Kwamfano ndio ikawa hivi hivi mwisho wa siku si na miguu nayo itaanza kutokutembea na mikono kutokufanya kazi ( Na vipi kama ikiwa kweli???) Ina maana ndoto zangu zote ndio zitakua zimeishia hapa au??
Niambie au nishauri chochote ili niondokane na hii sijui ndio fear of unknown au nini??
Asante jirani,. Niliona mai kuna hadi ya masaa15 ukiachana na hii ya siku 12.. Kama unaifahamu please naomba muongozo🙏Hata mimi ni miongoni mwao isali kwa imani utaona makuu.!!
Ukiweza sali na ya mt Yuda Thadei nayo nzuri.
Ukihitaji muongozo nitafanya kwaajili yako, na nitakuweka kwenye maombi jirani.
Ipo ndio nitakupa muongozo usijali, hakuna linaloshindikana kwa imani.Asante jirani,. Niliona mai kuna hadi ya masaa15 ukiachana na hii ya siku 12.. Kama unaifahamu please naomba muongozo🙏
Simu inakufanya uuchoshe ubongo zaidi, wengi wanaambiwa waache kutumia computer na simu janja kwa muda, hasa wenye matatizo yanayoendana na yako. Mfumo wa masikio hauko sawa, huwezi jua connection yake na uono, pumzisha macho hayo...Nikiachana na kushika simu means nitakua nalala tu mda wote from morning to night which is tiresome 😌
Ukitulia nipiemNitashukuru sana maana nilidownload jana nikawa siielewi ikabidi nitumie tu kitabu kusali ya kawaida
Umezungumza kama daktari alivyoniambia,. Yeah ni kweli hata leo from morning sijashika simu ndio nimepatiwa saizi,.. Nitajitahidi AsanteSimu inakufanya uuchoshe ubongo zaidi, wengi wanaambiwa waache kutumia computer na simu janja kwa muda, hasa wenye matatizo yanayoendana na yako. Mfumo wa masikio hauko sawa, huwezi jua connection yake na uono, pumzisha macho hayo...