Nishauri chochote niache kuyaogopa maisha

Nishauri chochote niache kuyaogopa maisha

Pole sana mkuu..


Mungu wetu ni mwaminifu naamini ipo siku utakua sawa na utasahau.


Nakuombea urejee ktk hali yako ya awali
 
Ukirelax ukajua una muda wa kurekebisha makosa utaishi kwa amani zaidi

Hio biashara kama uliianzisha ww mwnyewe basi omba uzima kwanza

biashara kama ulianzisha mwenyewe na ikaenda vizuri ukipona hutashindwa kuirudisha kwenye mstari😁
kwakweli, Asante kwa ushauri mzuri mkuu
 
Pole sana Ms. Leejay.
Miaka 23, natumai Bado upo nyumbani.
Wacha baba/mama wakuhidumie kimatibabu.
Jipe muda, upone.

Pia, kama unasali kwa nia ya kuwa na amani, Sali.

Ila sikushauri usali, kufunga na kuomba/kuombewa ili upone. It never works, ni attributions tu watu hufanya.
Badala yake, endelea kufuatilia tiba zinazothibitishika hospitali na research ukoo wa baba na mama kama kuna cases similar zimewahi kurekodiwa kwa ndugu wengine.

Ugua pole.
 
Pole sana Ms. Leejay.
Miaka 23, natumai Bado upo nyumbani.
Wacha baba/mama wakuhidumie kimatibabu.
Jipe muda, upone.

Pia, kama unasali kwa nia ya kuwa na amani, Sali.

Ila sikushauri usali, kufunga na kuomba/kuombewa ili upone. It never works, ni attributions tu watu hufanya.
Badala yake, endelea kufuatilia tiba zinazothibitishika hospitali na research ukoo wa baba na mama kama kuna cases similar zimewahi kurekodiwa kwa ndugu wengine.

Ugua pole.
Asante kwa ushauri mzuri rafiki
 
Uzi wako huu unaweza ukausoma tena na ujumbe ulioandika wakati huo ukautumia hata sasa...

Thread 'Kama umezaliwa bila ulemavu wowote usiache kumshukuru Mungu hata mara moja kwa siku' Kama umezaliwa bila ulemavu wowote usiache kumshukuru Mungu hata mara moja kwa siku

Jemedari sijui ni uzee, siku hizi Kuna vitu siogopi kabisa. Unawezakujipa hofu ya vitu ambavyo hauna uwezo navyo au ukapoteza utulivu wa kufanya vizuri vile vichache vilivyopo kwenye uwezo wako.

Mwisho wa saa, sio kauli ya kukata tamaa lakini kikubwa nawaza siku nikidondoka, naondoka na kitu gani? Je, kinatakiwa kinifanye nishindwe kufurahia maisha? Hofu inafuvaza na kuua ndoto za watu wengi sana.

Pia kama ulivyoshauri, tumejaaliwa na kupata nafasi ya vitu vingi ila tunachukulua kawaida Kwa vile tunavyo au tunavipata. Lakini Kuna wengine hiyo hiyo hali tuliyonayo ni miujiza

Kikubwa, epuka kukata tamaa. Kaa mbali na Kila kinachokukatisha tamaa . Kuwa mtu wa matumaini na kuiona kesho Bora kuliko Leo licha ya Hali iliyopo Sasa.
 
Kila maumivu unayopitia ktk mwili wako Una mahusiano na jinsi gani unayaona maisha,mgongo kuuma ni matokeo ya wewe kuwa na mzigo mkubwa kuliko uwezo wako unaweza kuwa kipato NK,kuumwa miguu au hipsi ni dalili za wewe kuto kujua mwelekeo sahihi ktk maisha yako,kiuno ni hofu ya uchumi usio kuwa uhakika,kifua kuuma au kubana ni kuwa na manung'uniko ambayo huna mazingira sahihi ya kuyatoa ambayo ikiwa ni muda mrefu unaweza pata kansa! Kansa ya shingo ya kizazi ni dalili za mtu aliye nyanyasika sana ktk hisia za kimapenzi macho ni dalili za kuto kuiona nuru ktk maisha yako
NINI UFANYE?
Jikubali Kwanza angalia kile ulicho nacho Kwa thamani,jikubali wewe mwenyewe pale ulipo kosea jisamehe! Kama uko Sawa kiuchumi mtafute mwana saikolojia mzuri akusaidie utakuwa poa
 
Pole sana Leejay. Natumaini utapunguza hofu na hali kurudi kama awali.
 
Polee sana Dear! Usijari utakua sawa na utaendeleza ndoto zako pale ulipoishia, usikate tamaa nafasi bado unayo ktk uhai na utimilifu.

Kuumwa ni kawaida kwa mwanadamu, ugua poleeee!! Ningekua huko ningekuja kukusabahi.
 
Back
Top Bottom