Nishauri chochote niache kuyaogopa maisha

Nishauri chochote niache kuyaogopa maisha

Ndo maana nikawa najiuliza dada la madada yuko wapi. Naungana na wanachama wenzangu juu ya kusali lakin katika hizo sala, ombea sana mfumo wako wa uchumi. Kuna hatua ambazo umepiga, nature ya koo zetu za kiAfrica iwe ni miungu na mila huwa zinaanzaga kureact ukishaanza kupiga hatua.

Kama ni mKristo, soma Exodus 1. Farao alivyoona waIsrael wanaflourish katika ardhi ya Misri kilimuuma, wakastrategize namna ya kuwadiminish. Kuna maagano hayaruhusu mtu kuvuka viwango flani. Kuna maagano ya kikabila pia. Ni somo refu kidogo lakini jifunze kuombea mfumo wa uchumi wako na kukabidhi vitu vyako kwa Bwana. Bwana asipoulinda mji alindaye....The kingdom of God is violent, and the violent take it by force. Get stronger miss...pole sana.
Asante kipenzi, barikiwa sana
 
Pambana. Hesabu tu utukufu wa M/mungu

Unasikia. (Japo kwa uduni)
Unaona. (Japo kwa uhafifu).
Una mikono miwili.
Una miguu miwili.

Na kubwa zaidi upo HAI (Unapumua)

Na kwa kuwa wewe ni binadamu fahamu tunakuzingatia matokeo yako hata kama tutakunyima msaada.
Asante rafiki, barikiwa sana
 
pole toto,ukitaka kujiongezea tabu ni uwaze sana mawazo sio kitu kizuri.. hivi sasa hakikisha nguvu kubwa unaihamishia kwenye tiba pambana haswa!.
 
Wasalaaaam
Sijui niiwekaje hii,. Lakini naogopa tu nikiwaza haya maisha yanatakiwa yaende aje,, na kwanini inakua hivi🤔🤔

Au ni kwasababu nimeumwa sana nimeanza kupoteza matumaini?? Ata sijui nawaza nini🙌🙌,.
Yaani iko hivi, ni mwezi wa pili sasa unaelekea watatu siwezi kufanya chochote,,. kazi zangu na shughuli zangu ambazo nilikua nafanya mwenyewe ni watu ndio wananisaidia kufanya ( Hakuna hata kimoja kilichopo kwenye mstari,. Kila kitu kimevurugika, Hawafanyi kama ambavyo mwenyewe hua nafanya🥹🥹)..

Watu hata nyumbani naona wanalichukulia hili suala kawaida lakini mimi linaniogopesha sana,. Imagine nilikua nasikia vizuri tu lakini saizi sisikii,. Eti macho nayo yameanza kusumbua yaani navaa miwani hatakama sisomi kitu🤔🤔,. Kwamfano ndio ikawa hivi hivi mwisho wa siku si na miguu nayo itaanza kutokutembea na mikono kutokufanya kazi ( Na vipi kama ikiwa kweli???) Ina maana ndoto zangu zote ndio zitakua zimeishia hapa au??

Niambie au nishauri chochote ili niondokane na hii sijui ndio fear of unknown au nini??
Nenda kanisa la walokole ukaombewe.

Usipuuze hili
 
Wasalaaaam
Sijui niiwekaje hii,. Lakini naogopa tu nikiwaza haya maisha yanatakiwa yaende aje,, na kwanini inakua hivi🤔🤔

Au ni kwasababu nimeumwa sana nimeanza kupoteza matumaini?? Ata sijui nawaza nini🙌🙌,.
Yaani iko hivi, ni mwezi wa pili sasa unaelekea watatu siwezi kufanya chochote,,. kazi zangu na shughuli zangu ambazo nilikua nafanya mwenyewe ni watu ndio wananisaidia kufanya ( Hakuna hata kimoja kilichopo kwenye mstari,. Kila kitu kimevurugika, Hawafanyi kama ambavyo mwenyewe hua nafanya🥹🥹)..

Watu hata nyumbani naona wanalichukulia hili suala kawaida lakini mimi linaniogopesha sana,. Imagine nilikua nasikia vizuri tu lakini saizi sisikii,. Eti macho nayo yameanza kusumbua yaani navaa miwani hatakama sisomi kitu🤔🤔,. Kwamfano ndio ikawa hivi hivi mwisho wa siku si na miguu nayo itaanza kutokutembea na mikono kutokufanya kazi ( Na vipi kama ikiwa kweli???) Ina maana ndoto zangu zote ndio zitakua zimeishia hapa au??

Niambie au nishauri chochote ili niondokane na hii sijui ndio fear of unknown au nini??
Pole sana!

Iogope sukari kama ukoma!!

Sukari ni hatari kuliko hata pombe!!

Macho,miguu na damu plus misuli !!?jitahidi uachane na hizi sukari utakua fine,young and fresh!!

Sasa ondoa free radicals kwa kunywa chai isiyo na sukari!

Ukipata green tea ukawa unachemsha chai bila kuweka sukari asubuhi na jioni baada ya mlo itakuasaidia sana!kama huna green tea tumia ya kawaida tu walau vikombe viwili asubuhi mchana na jion!!asubuhi kabla ya mlo kunywa viwili halafu ndio update breakfast!!!

Utakua active!
 
pole toto,ukitaka kujiongezea tabu ni uwaze sana mawazo sio kitu kizuri.. hivi sasa hakikisha nguvu kubwa unaihamishia kwenye tiba pambana haswa!.
Asante rafiki
 
Wasalaaaam
Sijui niiwekaje hii,. Lakini naogopa tu nikiwaza haya maisha yanatakiwa yaende aje,, na kwanini inakua hivi🤔🤔

Au ni kwasababu nimeumwa sana nimeanza kupoteza matumaini?? Ata sijui nawaza nini🙌🙌,.
Yaani iko hivi, ni mwezi wa pili sasa unaelekea watatu siwezi kufanya chochote,,. kazi zangu na shughuli zangu ambazo nilikua nafanya mwenyewe ni watu ndio wananisaidia kufanya ( Hakuna hata kimoja kilichopo kwenye mstari,. Kila kitu kimevurugika, Hawafanyi kama ambavyo mwenyewe hua nafanya🥹🥹)..

Watu hata nyumbani naona wanalichukulia hili suala kawaida lakini mimi linaniogopesha sana,. Imagine nilikua nasikia vizuri tu lakini saizi sisikii,. Eti macho nayo yameanza kusumbua yaani navaa miwani hatakama sisomi kitu🤔🤔,. Kwamfano ndio ikawa hivi hivi mwisho wa siku si na miguu nayo itaanza kutokutembea na mikono kutokufanya kazi ( Na vipi kama ikiwa kweli???) Ina maana ndoto zangu zote ndio zitakua zimeishia hapa au??

Niambie au nishauri chochote ili niondokane na hii sijui ndio fear of unknown au nini??
Olewa.
 
Pole sana!

Iogope sukari kama ukoma!!

Sukari ni hatari kuliko hata pombe!!

Macho,miguu na damu plus misuli !!?jitahidi uachane na hizi sukari utakua fine,young and fresh!!

Sasa ondoa free radicals kwa kunywa chai isiyo na sukari!

Ukipata green tea ukawa unachemsha chai bila kuweka sukari asubuhi na jioni baada ya mlo itakuasaidia sana!kama huna green tea tumia ya kawaida tu walau vikombe viwili asubuhi mchana na jion!!asubuhi kabla ya mlo kunywa viwili halafu ndio update breakfast!!!

Utakua active!
Asante kwa Ushauri mzuri kiongozi,, Wacha niufanyie kazi ushauri wako, si naweza kutumia hata michaichai kwanza navyotafuta hizo green tea??
 
Pole sana mkuu usikate tamaa ata Mimi niliumwa sana vidonda vya tumbo hadi nilikata tamaa ila asaivi Nipo fresh kikubwa usiishi kwa hofu na usikate tamaaa ipo siku utapona dada yangu polee sana kwa kuumwa
Kindly share uliponaje ulcers? Maana ni tatizo la wengi japo mimi si mmojawapo.



Pole kwako Leejay49
 
Back
Top Bottom