Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu,. Wacha nitulie nisome sasaPole mno, jaribu hii mkuu inasaidia sana.
Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza
Habarini za usiku huu Ningependa kushare nanyi hii tiba mbadala ya chumvi kwa wale waamini na wenye uhitaji, hii si uchawi ushirikina wala ulozi na wala huhitaji kwenda kwa 'mtaalam' kupoteza pesa na muda wako huku ukiwa kwenye hatari ya kutapeliwa nk Chumvi yenye matokeo bora ni chumvi ya...www.jamiiforums.com
OkSikutishi ila hapo bado kuna binamu wangu alianza hivyo , masikio akaja miguu baadae akahamia kwenye mdogo ikawa sauti haitoki kabisa ..Alipelekwa nje na mzee wake alipata mashine ila mpaka leo kawa kama Bubu hata kuongea kaacha maana sauti haitoki .
Maajabu ana Masters kasoma chuo bila ya sup ,na anafanya shughuli zake fresh tu .
Usikate tamaa ishi vizuri tu ndio maisha , binadamu hujafa hujaumbika , hauna kosa lolote ndio maisha hayo .
Huu si ushauri ndugu. Subiri na wewe upitie hiyo hali ndipo uone ugumu wake ulivyo. What goes around comes around!...Jinyonge uyakomoe yasikutese
Kwani mleta mada alikuwa hamuamini huyo Mungu mpaka aanze kuumwa?Utakuwa sawa usiogope wala usikate tamaa Muamini Mungu mkuu na ujitamkie mazuri
"For every action, there is equal and opposite reaction."3rd law.... Newton