Nishawai toka Kyela hadi Mbeya na Manzi na sikumsemesha neno lolote. Alinikuta nimekaa hakusalimia nikasema wacha niupokee huu mpira kama ulivyokuja

 
conclusion: 😀
Una IDs mbili au
Umecopy uzi
 
Hahahaaa ila ni VWAWA ✅siyo VYAWA❌
 
Wanawake/wadada wengi wao wanaona sisi wanaume ndiyo tuna hali ya kuanza salamu, kwa sababu muda mwingi wanawaza ngono vichwani mwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…