unajua wanawake baadhi yao ni vilaza sana
if we click we click if we don't we won't
Kuna siku nipo kwenye Coster Naelekea Zangu Tunduma Akaja Mdada mmoj Mweupe Kavaa Head phone Maskion Kaja kukaa jiran Ajanisalimia Nikawa na mzoom tu Uku Na Angalia Pemben Tukawa tumefika sehemu inaitwa Mlowo nkanunua Zangu Chips Na majuisi na maji Safari ikaendelea tulivofika vyawa Eti Ananiuliza Hapa Ni Wapi nikamjbu Nika Mwambia Hapa tupo Boda Ya Zambia Tunaelekea Congo Alianza kupiga Kelele kwenye Gari Eti kondaaa nishushe me Congo siendi walimuona kaa Mwehu 🤣🤣
embu lete experince yako yeyote uliwahi kutana nayo ya watu wasiojua kusalimia💥
conclusion: 😀lazima atatokea weak man
kuna siku nilikuwa kwenye hiace naenda zangu kazini akaja dada mmoja alikata pembeni yangu akusamilia wala nini chuma ikanza safari konda akachua nauli zake pale sasa yule mdada akatoa elfu tano konda akamrudishia elfu 3000 kumbuka muda wote hajanisalimia sasa alivyorudishiwa hiyo chenji ndo akaniuliza nauli ya hiace bei gani ?? mimi bila hiana nikamwambia Elfu saba
Hahahaaa ila ni VWAWA ✅siyo VYAWA❌unajua wanawake baadhi yao ni vilaza sana
if we click we click if we don't we won't
Kuna siku nipo kwenye Coster Naelekea Zangu Tunduma Akaja Mdada mmoj Mweupe Kavaa Head phone Maskion Kaja kukaa jiran Ajanisalimia Nikawa na mzoom tu Uku Na Angalia Pemben Tukawa tumefika sehemu inaitwa Mlowo nkanunua Zangu Chips Na majuisi na maji Safari ikaendelea tulivofika vyawa Eti Ananiuliza Hapa Ni Wapi nikamjbu Nika Mwambia Hapa tupo Boda Ya Zambia Tunaelekea Congo Alianza kupiga Kelele kwenye Gari Eti kondaaa nishushe me Congo siendi walimuona kaa Mwehu 🤣🤣
embu lete experince yako yeyote uliwahi kutana nayo ya watu wasiojua kusalimia💥
mimi nasemea kusalimia sio mtu kuwa story mkuu na binadamu wa kawaida unakosaje story sasa🫡Sawa hata kama umetudanganya 🤣.
Na sisi tunaotoka dar-mbeya,arusha-mbeya,Dar-Songea,dar-kigoma bila kuongea mpaka tunafika na hatuna stori kabisa unatusaidiaje?🤣🤣
typing error mkuu ila lete experince yako kutoka kwa hawa maghost wasio salimiaHahahaaa ila ni VWAWA ✅siyo VYAWA❌
Kijana mwizi uyu kaiba huu Uzi🤔🤔Dogoli kinyamkela mwambie kitu
kutunga vipi mkuu kwani hujawahi kutana na ma ghost wa aina hiyo au wewe mzee wa kariakoo tandika🤣🤣Sheikh wangu hii ni story ya kutunga,sio?
dogoli kinyamkela una wivu sana 🤣🤣🤣Kijana mwizi uyu kaiba huu Uzi🤔🤔
ila JF [emoji23]Kijana mwizi uyu kaiba huu Uzi
Sasa kama umedokoa Uzi wangu nisiseme😂😂😂dogoli kinyamkela una wivu sana 🤣🤣🤣
lazima atatokea weak man
kuna siku nilikuwa kwenye hiace naenda zangu kazini akaja dada mmoja alikata pembeni yangu akusamilia wala nini chuma ikanza safari konda akachua nauli zake pale sasa yule mdada akatoa elfu tano konda akamrudishia elfu 3000 kumbuka muda wote hajanisalimia sasa alivyorudishiwa hiyo chenji ndo akaniuliza nauli ya hiace bei gani ?? mimi bila hiana nikamwambia Elfu saba
conclusion: 😀
Una IDs mbili au
Umecopy uzi
mkuu wewe umenielewa unajua hawa mara nyingi wanawaza ngonoWanawake/wadada wengi wao wanaona sisi wanaume ndiyo tuna hali ya kuanza salamu, kwa sababu muda mwingi wanawaza ngono vichwani mwao.
Pamoja sana uzuri ikigundulika zinaunganishwa haina mbaya tupunguze stress enhe ulivyoshuka mbeya ikawaje.
sawa mkuu tusubiri unganishwePamoja sana uzuri ikigundulika zinaunganishwa haina mbaya tupunguze stress enhe ulivyoshuka mbeya ikawaje.
HeheheHuu uzi nimeuona mchana au naota