Nishawai toka Kyela hadi Mbeya na Manzi na sikumsemesha neno lolote. Alinikuta nimekaa hakusalimia nikasema wacha niupokee huu mpira kama ulivyokuja

Natoka Sirari mida ya usiku naelekea Mwanza njiani akapanda dada mmoja mrembo ana mikogo mingi, headphones kwa masikio, pillow kwa shingo na simu kubwa akichati chat muda wote.

Sasa wakati wa kukaa akachagua siti ya pembeni yangu akiwa na begi kubwa ikabidi aliweke chini ya siti likawa limesogea hadi kwa miguu yangu. Ajabu ni kuwa hakutoa salamu kuonesha kuwa ni mtu mstaarabu nami nikakausha hadi tukafika Mwanza ile kushuka anahangaika kutoa begi lake kwa aibu akashindwa kusema nimsaidie, bila hiyana mimi nikamsaidia kulitoa na kulibeba aiseee niliona jinsi alivyokuwa aki feel guilty. Nikaishia zangu.
 
Chai.
 
Mimi niliuona jana huko Facebook

Eeh niambie hii stori uliiona wapi ikakuvutia.
 
mkuu huyo angekutana na mimi nadhani angetubu ningemwambia naomba kupita ili hutoe vizuri🤣🤣🤣🤣
 
Reactions: 1gb
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…