Nishawai toka Kyela hadi Mbeya na Manzi na sikumsemesha neno lolote. Alinikuta nimekaa hakusalimia nikasema wacha niupokee huu mpira kama ulivyokuja

Nishawai toka Kyela hadi Mbeya na Manzi na sikumsemesha neno lolote. Alinikuta nimekaa hakusalimia nikasema wacha niupokee huu mpira kama ulivyokuja

A6A2007C-D9C4-4AE2-B19F-2D560A6A0D33.gif
Mara Kyela mara Tunduma 🚮
 
Natoka Sirari mida ya usiku naelekea Mwanza njiani akapanda dada mmoja mrembo ana mikogo mingi, headphones kwa masikio, pillow kwa shingo na simu kubwa akichati chat muda wote.

Sasa wakati wa kukaa akachagua siti ya pembeni yangu akiwa na begi kubwa ikabidi aliweke chini ya siti likawa limesogea hadi kwa miguu yangu. Ajabu ni kuwa hakutoa salamu kuonesha kuwa ni mtu mstaarabu nami nikakausha hadi tukafika Mwanza ile kushuka anahangaika kutoa begi lake kwa aibu akashindwa kusema nimsaidie, bila hiyana mimi nikamsaidia kulitoa na kulibeba aiseee niliona jinsi alivyokuwa aki feel guilty. Nikaishia zangu.
 
unajua wanawake baadhi yao ni vilaza sana

if we click we click if we don't we won't

Kuna siku nipo kwenye Coster Naelekea Zangu Tunduma Akaja Mdada mmoj Mweupe Kavaa Head phone Maskion Kaja kukaa jiran Ajanisalimia Nikawa na mzoom tu Uku Na Angalia Pemben Tukawa tumefika sehemu inaitwa Mlowo nkanunua Zangu Chips Na majuisi na maji Safari ikaendelea tulivofika vyawa Eti Ananiuliza Hapa Ni Wapi nikamjbu Nika Mwambia Hapa tupo Boda Ya Zambia Tunaelekea Congo Alianza kupiga Kelele kwenye Gari Eti kondaaa nishushe me Congo siendi walimuona kaa Mwehu 🤣🤣


embu lete experince yako yeyote uliwahi kutana nayo ya watu wasiojua kusalimia💥
Chai.
 
Mimi niliuona jana huko Facebook

unajua wanawake baadhi yao ni vilaza sana

if we click we click if we don't we won't

Kuna siku nipo kwenye Coster Naelekea Zangu Tunduma Akaja Mdada mmoj Mweupe Kavaa Head phone Maskion Kaja kukaa jiran Ajanisalimia Nikawa na mzoom tu Uku Na Angalia Pemben Tukawa tumefika sehemu inaitwa Mlowo nkanunua Zangu Chips Na majuisi na maji Safari ikaendelea tulivofika vyawa Eti Ananiuliza Hapa Ni Wapi nikamjbu Nika Mwambia Hapa tupo Boda Ya Zambia Tunaelekea Congo Alianza kupiga Kelele kwenye Gari Eti kondaaa nishushe me Congo siendi walimuona kaa Mwehu 🤣🤣


embu lete experince yako yeyote uliwahi kutana nayo ya watu wasiojua kusalimia💥
Eeh niambie hii stori uliiona wapi ikakuvutia.
 
Natoka Sirari mida ya usiku naelekea Mwanza njiani akapanda dada mmoja mrembo ana mikogo mingi, headphones kwa masikio, pillow kwa shingo na simu kubwa akichati chat muda wote.

Sasa wakati wa kukaa akachagua siti ya pembeni yangu akiwa na begi kubwa ikabidi aliweke chini ya siti likawa limesogea hadi kwa miguu yangu. Ajabu ni kuwa hakutoa salamu kuonesha kuwa ni mtu mstaarabu nami nikakausha hadi tukafika Mwanza ile kushuka anahangaika kutoa begi lake kwa aibu akashindwa kusema nimsaidie, bila hiyana mimi nikamsaidia kulitoa na kulibeba aiseee niliona jinsi alivyokuwa aki feel guilty. Nikaishia zangu.
mkuu huyo angekutana na mimi nadhani angetubu ningemwambia naomba kupita ili hutoe vizuri🤣🤣🤣🤣
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Back
Top Bottom