Nishawai toka Kyela hadi Mbeya na Manzi na sikumsemesha neno lolote. Alinikuta nimekaa hakusalimia nikasema wacha niupokee huu mpira kama ulivyokuja

Muda mwingi haina haja kushindana nao. Akikukuta na hajakusalimia we piga kimya.
Akihitaji msaada msaidie vizuri huku unamsindikizia kwa tabasamu maridhawa.

Safari kuna mambo mengi. Huwezi jua mkiwa njiani atakufaa kwa lipi.

Mabasi yenyewe yanachangamoto sana.

Kama umenielewa lakini.
 
mimi nimekuelewa na huo ndiyo utu ila hawa mademu wakishajipulizia yale mapafyumu yao tu basi wote walikuwa mbele ni mbwa🤣
 
We jamaa huna akili kabisa ila huyo dada ndio kabisaaa
 
Dogoli kinyamkela naona na pacha wako mlikutaniza mdada mweupe!?
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…