Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
.....jinsi alivyoogopa kupelekwa kwa M 23....ha ha hambona unacheka mkuu
Ha ha ha point....kusalimia ni utamadini wa kiafrika au wewe umelelewa na machangudoa🤔
endelea kukua utafika hapa nilipo ila kwa hauna kifua cha kukupa siri nzitoBangi hizi
Ha ha ha haMajitu ya huo mkoa yana ego sana.
Ha ha ha point....
Ha ha ha halazima atatokea weak man
kuna siku nilikuwa kwenye hiace naenda zangu kazini akaja dada mmoja alikata pembeni yangu akusamilia wala nini chuma ikanza safari konda akachua nauli zake pale sasa yule mdada akatoa elfu tano konda akamrudishia elfu 3000 kumbuka muda wote hajanisalimia sasa alivyorudishiwa hiyo chenji ndo akaniuliza nauli ya hiace bei gani ?? mimi bila hiana nikamwambia Elfu saba
Anza kubweka😀Kama hajatokea mtu akasema hii ni chai nabweka hapa hapa.
unajua mkuu hawa wenzetu akili kisoda🤣🤣Ukimya.. utulivu...kutotabirika....kutowashobokea hovyo hawa wake/wanawake zetu....ni jambo adhimu mno.....
Upokee mpira vile wanavyokusogezea.......
.
Inahitaji akili kubwa sana kwa mwanamme kuishi/date mwanamke na hapohapo awe anakwepa "kila aina ya madhara yanayoelekezwa"..
#Alpha Male hapa!
huko alipo muda huu🫡🫡Anza kubweka😀
Gentlemanship....Natoka Sirari mida ya usiku naelekea Mwanza njiani akapanda dada mmoja mrembo ana mikogo mingi, headphones kwa masikio, pillow kwa shingo na simu kubwa akichati chat muda wote.
Sasa wakati wa kukaa akachagua siti ya pembeni yangu akiwa na begi kubwa ikabidi aliweke chini ya siti likawa limesogea hadi kwa miguu yangu. Ajabu ni kuwa hakutoa salamu kuonesha kuwa ni mtu mstaarabu nami nikakausha hadi tukafika Mwanza ile kushuka anahangaika kutoa begi lake kwa aibu akashindwa kusema nimsaidie, bila hiyana mimi nikamsaidia kulitoa na kulibeba aiseee niliona jinsi alivyokuwa aki feel guilty. Nikaishia zangu.
Mbona zamani tu watu washaweka hadi na vikombe kwenye postAnza kubweka😀
....mwenye kuwapatiliza hovyo hatoboi duniani na mbinguni sijui kama pia ataingia ha ha haunajua mkuu hawa wenzetu akili kisoda🤣🤣
we kweli kijana masikini🤣🤣Mbona zamani tu watu washaweka hadi na vikombe kwenye post
Ha ha hawe kweli kijana masikini🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 si nime mjibu mdau hapo aliyetaka nibwekewe kweli kijana masikini🤣🤣
Ni insecurity nadhani hana muonekano wa kuvutia inamtesaHapa wewe ndio kilaza na inaonekana umeumia sana mkuu hadi unamuanzishia uzi😃😃😃
Mtu mstaarabu ambaye anafahamu kuwa kusalimiana kwa watu walio kaa karibu ni uungwana....leo aambiwe ana "inferiorities & insecurities" za kuwa na mwonekano hafifu mbele ya hao "wanyange"?!!Ni insecurity nadhani hana muonekano wa kuvutia inamtesa