Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Ukimya.. utulivu...kutotabirika....kutowashobokea hovyo hawa wake/wanawake zetu....ni jambo adhimu mno.....
Upokee mpira vile wanavyokusogezea.......
.
Inahitaji akili kubwa sana kwa mwanamme kuishi/date mwanamke na hapohapo awe anakwepa "kila aina ya madhara yanayoelekezwa"..
#Alpha Male hapa!
Upokee mpira vile wanavyokusogezea.......
.
Inahitaji akili kubwa sana kwa mwanamme kuishi/date mwanamke na hapohapo awe anakwepa "kila aina ya madhara yanayoelekezwa"..
#Alpha Male hapa!