kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
- Thread starter
-
- #161
Chai ya Tangawizi imezidi ukali
kajamaa kadogoKama hajatokea mtu akasema hii ni chai nabweka hapa hapa.
amechanganya, songwe is quite a different area from Kasumulu. na wilaya tofauti, yeye katuaminisha ni boarder moja au alikuwa anaendaje.
acha kukalilia Yesu Anakuja hata hapa tanzania kuna sehemu inaitwa zambiaamechanganya, songwe is quite a different area from Kasumulu. na wilaya tofauti, yeye katuaminisha ni boarder moja au alikuwa anaendaje.
OK, kwahiyo kuna boda ya songwe kasumulu? au sijafika malawi unamaanisha ule mto wa ileje kule? au wapi?acha kukalilia Yesu Anakuja hata hapa tanzania kuna sehemu inaitwa zambia
soma vizuri pale Yesu Anakuja π€£OK, kwahiyo kuna boda ya songwe kasumulu? au sijafika malawi unamaanisha ule mto wa ileje kule? au wapi?
π€£π€£π€£, huyo bimkubwa nilisafiri nae nikiwa na nauli tu sina hela ya kula njiani. Mwenyewe kajinunulia masoda na machips kala kashiba baada ya hapo ananiuliza hapa tupo wapi? Tupo Afghanistan π‘π‘π‘unajua wanawake baadhi yao ni vilaza sana
if we click we click if we don't we won't
Kuna siku nipo kwenye Coster Naelekea Zangu Tunduma Akaja Mdada mmoj Mweupe Kavaa Head phone Maskion Kaja kukaa jiran Ajanisalimia Nikawa na mzoom tu Uku Na Angalia Pemben Tukawa tumefika sehemu inaitwa Mlowo nkanunua Zangu Chips Na majuisi na maji Safari ikaendelea tulivofika vyawa Eti Ananiuliza Hapa Ni Wapi nikamjbu Nika Mwambia Hapa tupo Boda Ya Zambia Tunaelekea Congo Alianza kupiga Kelele kwenye Gari Eti kondaaa nishushe me Congo siendi walimuona kaa Mwehu π€£π€£
embu lete experince yako yeyote uliwahi kutana nayo ya watu wasiojua kusalimiaπ₯
hongera kwa kucopy inaonekana unaham ya kuchangamsha jukwaa lkn haukuwa na lakusema ukaamua kuja kupaste
[emoji23][emoji23][emoji23]We Aya tu[emoji23][emoji23][emoji23]
sawa sawa hiyo dawa tosha kwa mtu mjingaπ€£π€£π€£, huyo bimkubwa nilisafiri nae nikiwa na nauli tu sina hela ya kula njiani. Mwenyewe kajinunulia masoda na machips kala kashiba baada ya hapo ananiuliza hapa tupo wapi? Tupo Afghanistan π‘π‘π‘
Sijapendraaaaaπππ[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nilipanda gari kutoka songea mpaka dar, niliingia pale nikakaa siti nloandikiwa kwenye ticket, lakini konda akanihamisha akanikatia ticket ya kielectroniki ndo akanipanga na demu mmoja hivityping error mkuu ila lete experince yako kutoka kwa hawa maghost wasio salimia
Kijana masikini uliingia vichwani mwao ukaona wanawaza hivo au chai!!!π€πWanawake/wadada wengi wao wanaona sisi wanaume ndiyo tuna hali ya kuanza salamu, kwa sababu muda mwingi wanawaza ngono vichwani mwao.
Aaaah weeeh aaaaah wapiπππππ€£π€£π€£, huyo bimkubwa nilisafiri nae nikiwa na nauli tu sina hela ya kula njiani. Mwenyewe kajinunulia masoda na machips kala kashiba baada ya hapo ananiuliza hapa tupo wapi? Tupo Afghanistan π‘π‘π‘
Kwann jomoneeee?? [emoji23][emoji23][emoji23]Sijapendraaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
usingemwambia tuko mwanza ungemwambia tupo boda la misri na ukraine ungetisha mkuuπ€£π€£Mimi nilipanda gari kutoka songea mpaka dar, niliingia pale nikakaa siti nloandikiwa kwenye ticket, lakini konda akanihamisha akanikatia ticket ya kielectroniki ndo akanipanga na demu mmoja hivi
Anaonekana ni malaya coz alikuwa anawasiliana na wanaume tofauti tofauti π
Picha linaanza demu kapiga kisuruali Cha kumbana cha jinsi halafu kavaa tishet nyeupee, kasuka nywele ya gharama halafu simu mbili iphone 15 kwa Samsung sijui s ngapii Ile USO mweupe umetobolewa pua ππ
NIKIMSALIMIA "mambo" akakaa kimya halafu eti akatoka air pods akavaa masikioni nikaona isiwe KESI, nikakaa zangu kimyaaa..........
Toka songea akaja niongelesha morogoro Eti kaka hapa wapi nikamjibu hapa mwanza!π€£π€£π
ππππππKijana masikini uliingia vichwani mwao ukaona wanawaza hivo au chai!!!π€π
ππππππππππ
Kwahio unataka kusemaje ni TATEPA!