Na ww achaga ushamba kwa hyo biriani, pilau, kuku, sijui juice ndio umeona vitu vya kuku promote?? Au ulitaka tujue umeajiriwa kwamba unakulaga ofisini?? Hii ni great thinkers forum leta mada zenye tija... Takataka kama hz unamalizana nazo hukohuko ofisini kwenu.