Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
 
Kwa hiyo kwenye hiyo namba 4 yako, unaamini ni hao akina Mdee pekee wasio na sifa humo Bungeni?

Au ni karibia Wabunge wote tu, hawana sifa za kuitwa Wabunge! kutokana na ukweli kwamba wameteuliwa tu na Hayati kibabe, badala ya kuchaguliwa Wananchi?
 
La wabunge kina Halima liko kisheria..
Bunge ni taasisi huru
Yeyote anaepinga aende mahakamani
Na mahakama ni taasisi huru...

Kama kweli tunamtaka Mama asiingilie Bunge wala mahakama hatuwezi tena kumwambia aingilie Bunge kufanya maamuzi tunayo yaona sahihi...

Chadema waende mahakamani Tu
Sisi tumuombe Mama asiingilie Bunge wala mahakama
 
Nchi ilipitia kipindi kigumu sana...
images (26).jpeg
 
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
Dude la Kinyarwanda limekuja kivingine
 
Kweli mkuu katiba ina imevunja wazi wazi inakuwaje wabunge wasio na chama wawepo bungeni!?? Na wale mishahara ambao ni kodi za watanzania maskini???!!

Huu ni sawa na uhujumu uchumi kulipa watu mishahara na posho kibao kinyume na katiba
Nenda mahakamani acha kulialia Mama hawezi kuongea kuhusu hao wabungewenu.
 
Back
Top Bottom