Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

Kwa hiyo kwenye hiyo namba 4 yako, unaamini ni hao akina Mdee pekee wasio na sifa humo Bungeni?

Au ni karibia Wabunge wote tu, hawana sifa za kuitwa Wabunge! kutokana na ukweli kwamba wameteuliwa tu na Hayati kibabe, badala ya kuchaguliwa Wananchi?
La wabunge kina Halima liko kisheria..
Bunge ni taasisi huru
Yeyote anaepinga aende mahakamani
Na mahakama ni taasisi huru...

Kama kweli tunamtaka Mama asiingilie Bunge wala mahakama hatuwezi tena kumwambia aingilie Bunge kufanya maamuzi tunayo yaona sahihi...

Chadema waende mahakamani Tu
Sisi tumuombe Mama asiingilie Bunge wala mahakama
MIMI NAONA HAWA CHADEMA WANA UCHU SANA WA KUWA WABUNGE ILHARI WALISHINDWA KWENYE KURA BASI WAJIITE TU NAO WABUNGE WAJENGE NYUMABA WAIITE BUNGE WAWE WANAENDA KUKUTANA HUMO
 
Akiipongeza Simba atanifurahisha na ijumaa ya kesho nitajipongeza na kitu fulani baada ya futari Kwa kuwa aliniudhi aliposema yeye na Magufuli damudamu 😵
Nalog off
 
Hilo la kina Mdee anaruhusiwa kuliingilia kwa sheria ipi hiyo? Mnataka Rais atupe katiba mpya lakini mnamtuma kuvunja katiba aliyoapa kuilinda kwa kuwa jambo linawapendeza.
Kwani hiyo katiba unafikiri kwanini wanaitaka lengo ni kuipunguza nguvu ccm tu hiyo ndio shabaha ya kudai hiyo katiba mpya, usione wanapigia kelele za kuvunjwa katiba ukafikiri wao wenyewe wanaiheshimu katiba hawana kabisa huo utamaduni na ndio kwao hata ikivunjwa ili kufanyika wanayoyapenda wao hawaoni tatizo.
 
Kuja
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
watu mnavichaaa...
 
8.Kufutwa kwa sheria zote kandamizi.
9.Kurejewa kwa mchakato wa Katiba mpya.
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
 
Na kuruhusu Bunge kuonyeshwa live.

Pia atoe msimamo wake kuhusu ujenzi wa Bandari mpya ya Bagamoyo- Maana jiwe alisema tunapigwa
 
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
Ushuzi mtupu
 
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
Namba 5 ni fikirishi ina mambo mengi 1.Kulipa madeni ya wafanya biashara wanao idai serikalli 2.Serikali kulipa madeni mbalimbali ya hapa nchini 3.Kuangalia sera ambazo hazina muelekeo (unguided policies) sera nyingi zilikuwa za majukwaani
 
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
Nini Sasa ulichoandika?
 
Sina maneno mengi sana ila binafsi nilikua ni miongoni mwa wapinzani wa JIWE ambao tulishukuru kuondoka kwake na ni miongongoni mwa wapinzani tuliopata faraja baada ya MAMA kushika kijiti cha JIWE, japo faraja yetu ilikua inaning'inia hewani kwa sababu bado tulikua hatujui muelekeo wa MAMA katika kuliendesha Gari la TAIFA.

Binafsi faraja yangu leo huenda ikakamilika au ikapotea kabisa na kurudi kwenye maisha ya mashaka kama wakati wa awamu ya JIWE. Hii ni kwa sababu kipimo changu leo ni pale MAMA atakapo lihutubia bunge alaasiri ya leo.

Kipimo changu ni rahisi tu ni kwamba MAMA asipo gusia kwa maneno yake mwenyewe katika hotuba rasmi kama ya leo walau kwa kutoa angalizo kwa mlengo wa KUKOSOA au KUTAHADHARISHA au KUKEMEA au KUKOMESHA kama sio KUSITISHA kabisa uwepo wa wabunge wa COVID-19 basi wapinzani wenzangu mjue MAMA atakua sio katika Marais wema ambae yeye ni mmoja wapo tunaemtegemea kurudisha FURAHA na FARAJA ya TAIFA

Hii ni kwa sababu Raisi atakae fumbia macho au kushiriki kuvunja katiba ya nchi basi huyo ni Raisi MDHALIMU kama WADHALIMU wengine tu.

Kwa uzi wangu huu ni ruksa kuzomewa kudharauliwa na kubezwa na wana LUMUMBA karibuni sana
 
La wabunge kina Halima liko kisheria..
Bunge ni taasisi huru
Yeyote anaepinga aende mahakamani
Na mahakama ni taasisi huru...

Kama kweli tunamtaka Mama asiingilie Bunge wala mahakama hatuwezi tena kumwambia aingilie Bunge kufanya maamuzi tunayo yaona sahihi...

Chadema waende mahakamani Tu
Sisi tumuombe Mama asiingilie Bunge wala mahakama

Cdm waende vipi mahakamani wakati katiba iko wazi kuwa mtu akifukuzwa chama, automatically sio mbunge? Una uhakika rais hawezi kuingilia bunge?
 
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
Namba 4 rais ana uwezo wa kuvunja bunge na kuitisha uchaguzi mpya lakini hana uwezo wa kusimamisha ubunge wa mbunge.

Bunge ni mhimili ulio chini ya Spika.

Rais anaweza kuzoza tu kwamba ubunge huu una mushkeli, lakini hawezi kuwasimamisha ubunge wabunge, hata wale aliowateua mwenyewe.
 
Endelea tu kumuomba israel wako maana leo hata hatasikia maombi yako na rais hatafanya unavyotaka.
 
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
Hatayagusa yote atayagusa baadhi. Ridhika na machache atayogusa na usimshurutishe "Israeli"
 
All ni all, hata kama atakuwa ni mbaya kiasi gani, ila hatokuja amfikie mtangulizi wake! Aisee yule alipitiliza!!! 😇
 
MIMI NAONA HAWA CHADEMA WANA UCHU SANA WA KUWA WABUNGE ILHARI WALISHINDWA KWENYE KURA BASI WAJIITE TU NAO WABUNGE WAJENGE NYUMABA WAIITE BUNGE WAWE WANAENDA KUKUTANA HUMO

Nimecheka kishenzi ulichoongea hapa ww msichana. Cdm walishindwa uchaguzi au yule shetani aliyeko motoni ndio alinajisi uchaguzi?
 
Back
Top Bottom