Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

Vipi ushazima?
 
😄😄😄😄😄 mbavu zangu
 
Daraja la Kigongo Busisi! Oyeee! Kura zoote za Kanda ya ziwa kea CCM 2025...!
 
Msitegemee maajabu sana kwenye Naamini hotuba ya Mama. Tiyari alisha declare interest mapema kabisa kwamba yeye hana tofauti na Mwendazake Jiwe.
Naamini amedeclare Kisiasa tu,huyu mama kwa kumsikiliza tu Ni mbingu na ardhi na Jiwe.
Anatumia kauli za upendo juu ya Hayati Jiwe ili kuondoa makundi.
 
duh
 
Hii hotuba mama angeitoa baada ya mwezi mtukufu,
Ndiyo kishamaliza huyo sidhani kama kuna la maana. Karibu nusu sasa bado ANABWABWAJA TU! 😳
Dakika 90 mkuu BILA BILA tuna wabunge wa hovyo sana wanashangilia KILA KITU.
 
Hii hotuba mama angeitoa baada ya mwezi mtukufu,

Dakika 90 mkuu BILA BILA tuna wabunge wa hovyo sana wanashangilia KILA KITU.
Huyo aliyeanzisha Pambio ni nani? Siyo Waziri Mama Mhagama huyo Ndugu?
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Madame Samia Suluhu Hassan


Amemaliza Tayari
 
Hivi ulixima runinga yako?

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…