Nissan Dualis yawaka moto. Hizi gari zina shida gani?

Nissan Dualis yawaka moto. Hizi gari zina shida gani?

Hapo hata mafundi hawahusiki, magari tu yenyewe yana shida, mm nimeshuhudia mtu kalinunua kalitumia mwezi tu, likaungua lote hapa hapa dar wiki hyo hyo nikaona kwenye mitandao nyingine tena inaungua kimara....kwa hizo gari hiyo changamoto ni yakawaida sana, pamoja na gearbox yake haina shukran kabisa hata uijali vipi....ukienda safar ndefu gearbox inapata moto nakupelekea gari kupungua nguvu
Gear box ya hii gari wengi wanaua kwasababu ya hydraulic wanazoweka.. either wanaweka hydraulic isiyo sahihi(NS-2) au wnaweka hydraulic hafifu na sio kwenye level yake inaYotakiwa...lakini pia hzi gari zinatumia gear box ya belts isiyokua na gear za menomeno (yaan CVT transmission/continuous variable transmission), ambayo inafanya isiwe gearbox nzuri ya kuhandle too much power hasa kwa wale maniac/rough drivers wanaotaka ndani ya sekunde kafika speed 70, sasa watu wengi hawajui namna ya kuishi na transmission system (gearbox) hii ndo maana wanaziua..angalia hata Toyota zinazokuja na gearbox ya CVT mfano ist new,sienta,rumion, belta, ractis,vitz,premio/allion new, utakuta zipo na same problems why because of putting wrong transmission fluid....jaman always weka transmission fluid recommended na manufacturer pia avoid frequent changing ya transmission fluid... change at least after every 30,000km kama unamatumizi heavy ila kwa matumizi ya kawaida unaweza change kwa interval ya 50,000km... Tunza gari likutunze
 
Hapo hata mafundi hawahusiki, magari tu yenyewe yana shida, mm nimeshuhudia mtu kalinunua kalitumia mwezi tu, likaungua lote hapa hapa dar wiki hyo hyo nikaona kwenye mitandao nyingine tena inaungua kimara....kwa hizo gari hiyo changamoto ni yakawaida sana, pamoja na gearbox yake haina shukran kabisa hata uijali vipi....ukienda safar ndefu gearbox inapata moto nakupelekea gari kupungua nguvu
Hilo gari lilikuwa used japan au brand new?
 
Ninavyotafuta pesa kwa shida hivi alafu ninunue gari iwake moto aisee ntapata ukichaa
Lipia comprehensive insurance with excess buyback ili usipate kichaa..with many insurance products there are many ways to transfer risks to somebody else ili pressure iwe ndogo (at least uweze ku restore position yako ya kurudish gari)
 
Mshaanza mafundi maiko.
Teknolojia muwezi mnaaishia Kubahatisha tu. Kuna fundi kakorofisha Alphad mpaka ijitambui nikiwasha inafungua vioo.
Kesho namdamkia tumalizane hajui uchungu wa kununua gari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Gear box ya hii gari wengi wanaua kwasababu ya hydraulic wanazoweka.. either wanaweka hydraulic isiyo sahihi(NS-2) au wnaweka hydraulic hafifu na sio kwenye level yake inaYotakiwa...lakini pia hzi gari zinatumia gear box ya belts isiyokua na gear za menomeno (yaan CVT transmission/continuous variable transmission) sasa watu wengi hawajui namna ya kuishi na transmission system (gearbox) hii ndo maana wanaziua..angalia hata Toyota zinazokuja na gearbox ya CVT mfano ist new,sienta,rumion, belta, ractis,vitz,premio/allion new, utakuta zipo na same problems why because of putting wrong transmission fluid....jaman always weka transmission fluid recommended na manufacturer pia avoid frequent changing ya transmission fluid... change at least after every 30,000km kama unamatumizi heavy ila kwa matumizi ya kawaida unaweza change kwa interval ya 50,000km... Tunza gari likutunze
Fundi Chidi anakwambia ukibadili oil ya engine mara 3 ya 4 ndio unabadili oil ya gearbox tena. 😀

Ukiangalia kwa makini utagundua kuwa kila baada ya kilometre 10,000 unabadilisha transmission fluid. Ni ukichaa
 
Gari hii na Nissan nyingi za kisasa zinakuja na electrical system ya IPDM yaan (An intelligent electronic power distributor module with a cut-off function that ensures and manages the power supply for a scalable number of connected loads in the vehicle)..hii module ipo kwenye fuse box ya hizi gari, sasa mafundi umeme wa kibongo wengi hawajui how IPDM power distribution module works, sasa wanaishia ku-loop mawaya kizembe na ku-bypass system ambayo inaji self diagnose yenye na kuji regulate yenye for optimal power distribution kwa kuzingatia electric load za module mbalimbali za gari...sasa mbongo/fundi wa Chini ya muende anaetumia tester kufanya kazi ya umeme akisha fanya yake basi utakuta system inashindwa ku detect power load kwenye system ambayo imeguswa matokeo yake ina over power or underpower..but iki overpower system ambayo waya / njia zake zipo designed kubeba umeme mdogo basi resistance inakua kubwa na kutengeneza joto kali ambalo eventually inapelekea cheche/moto andapo tu ignition itakutana na mafuta..kumbuka kama system ingekua inafanya kazi inavotakiwa ina maana yenyewe automatically ina detect na ku regulate power output iendane na load (ndo maan system inaitwa intelligent power distribution module)

System hii haipo kwenye Toyota..ukifungua fuse box ya Toyota nyingi utakuta ni relays na fuse but hakuna card (printed circuit with chips, diodes etc..) kumbuka IPDM ni system nzuri sana ikiwa inafanya kazi.short za kipuuzi puuzi upati.
Nataka niingie veta nkasome kozi ya umeme wa magari. Nataka nije niwapiku mafundi uchwara. Vp huko mtaan hii kozi ya umeme wa magari ina hela??
 
Gear box ya hii gari wengi wanaua kwasababu ya hydraulic wanazoweka.. either wanaweka hydraulic isiyo sahihi(NS-2) au wnaweka hydraulic hafifu na sio kwenye level yake inaYotakiwa...lakini pia hzi gari zinatumia gear box ya belts isiyokua na gear za menomeno (yaan CVT transmission/continuous variable transmission) sasa watu wengi hawajui namna ya kuishi na transmission system (gearbox) hii ndo maana wanaziua..angalia hata Toyota zinazokuja na gearbox ya CVT mfano ist new,sienta,rumion, belta, ractis,vitz,premio/allion new, utakuta zipo na same problems why because of putting wrong transmission fluid....jaman always weka transmission fluid recommended na manufacturer pia avoid frequent changing ya transmission fluid... change at least after every 30,000km kama unamatumizi heavy ila kwa matumizi ya kawaida unaweza change kwa interval ya 50,000km... Tunza gari likutunze
M nakumbuka siku moja tulienda pale sinza kwa wale jamaa wana deal na nissan dualis, wakaipima ikatoa fault kama 6 hv, tatu kwenye gearbox na 3 kwenye engine sensors.

Akasema gearbox inahitaji kubadilishwa transmission zen fault za kwenye Engine atafuta halafu atembelee kama siku mbili hv arudi wapime tena kama kuna falt itajirudia basi watabadili spea husika. Akabadili transmission siku ile baada ya wiki hv akanipigia simu akiniuliza ivi wale walibadili oil ya geabox? Nikamuuliza kwann anasema hvyoo...akanijibu kuwa leo gari imegoma kuondoka alipoita fundi kuja kuikagua akamwambia gearbox haina oil, ikabidi anunue tena nyingine akaweka ndio gari ikatembea.

Nikamuuliza kwani hyo gari kuna mahali inavuja chini? Akasema hapana. Hvyo basi hzi gar bia zinatabia ya kupoteza oil ya gear box, na hyo gari hata mwaka na nusu haina.

Pili toyota ilikuwa mwanzo kabla hawajajua ila kwa sasa wanaelewa mafundi wengi ndio maan husikii tena vilio vya gearbox kama awali
 
Maeneo ya mbezi beach tangi bovu, Nissan Dualis imekutwa inawaka moto yan imelipuka. Mimi binafsi hii ni dualis ya 4 kupata taarifa imewaka moto. Hizi gari zina shida gani? Halafu hizi ndo sababu nyingine zinazochangia hata bei yake kushuka.
Tatizo gari modern sio tatizo gari kama gaei unaweaa kuta

Gari ya kisasa inahitaji ufundi wa kisasa sio wa mazoea.

Mfano, Kuna siku nimeunguza fyuzi hapa hom, naitafuta kwa fundi umeme. Ananishauri 'we hata usihangaike chukua tu kipande cha waya unganisha huku na huku itawaka!!'. Sasa kwa kujua au kutojua kazi ya vifaa vipya ndio kuna "ufundi" wa kuvibypass bypass tu. Lazma viwake vyuma.
 
Nataka niingie veta nkasome kozi ya umeme wa magari. Nataka nije niwapiku mafundi uchwara. Vp huko mtaan hii kozi ya umeme wa magari ina hela??
Utapata stress yawakufunzi wa veta..not bad mkuu ukienda ila itapendeza kama wewe binafsi ukiwa idea ya kitu unachoenda kusoma, ukiwa na interest, then upo na natural intelligence inayokusaidia kua intuitive..hiki ni kitu cha muhimu sana kwenye career maana unaweza enda ukasoma mpaka ila natural ability haipo struggle inakua kubwa but of you were made for who you want to become, basi mambo yanakuwa very easy na yanaenda so natural mkuu. Kila la kheri mkuu kuna hela nyingi huku..pia tafuta tools sahihi za kazi.
 
IMG_3822.jpg

Tuuze sasa au
 
Kwa kupiga Recall maana ake ni design error from the manufacturer. Sasa hizi zinazo waka ndo wajapani machi nooo hawakuzirudisha[emoji23]
Alafu Kingine Wajapan Wanaweza toa model za Gari ata 8 au zaidi Engine ni aina moja. Wanaweka tofauti kidogo sana! Sisi huku ni Jalala Tunaletewa tu no quality no Support
 
Back
Top Bottom